Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hakuna mwenye estimate?
Nadhani hii thread itamsaidia hata king of all social network Le Mutuz ajuwe ni ground ipi itamfaa kwa harusi yake.
Maana yasemekana uwanja wa Taifa unaonekana hautatosha.
Ha ha ha ha ha, umeshajipindia hamna hata pakukunyooshea
Eti star mwenyewe ndio ww
Hutaki sasa? Afu unipeleke kule kwenye viwalo vya kuacha kalio na nyinyoz nje. Single inatoka soon
Unanitesa ukisema unataka kuacha nyinyoz nje, unazipush hadi zinakaribia shingoni.
Zangu zishakuwa kama kamba, nikitaka zibaki nje navaa kimini, zinatokelezea kwenye magoti
konnie UNAUMWA WEWE SIO MZIMA!Unanitesa ukisema unataka kuacha nyinyoz nje, unazipush hadi zinakaribia shingoni.
Zangu zishakuwa kama kamba, nikitaka zibaki nje navaa kimini, zinatokelezea kwenye magoti
hakuna mwenye estimate?
Nadhani hii thread itamsaidia hata king of all social network Le Mutuz ajuwe ni ground ipi itamfaa kwa harusi yake.
Maana yasemekana uwanja wa Taifa unaonekana hautatosha.
Unanitesa ukisema unataka kuacha nyinyoz nje, unazipush hadi zinakaribia shingoni.
Zangu zishakuwa kama kamba, nikitaka zibaki nje navaa kimini, zinatokelezea kwenye magoti
ha haaa uwanja wa Taifa unaingiza watu elfu 60..
sasa yeye ana watu wangapi kama sio mashauzi classic?
akina Michael Jordan harusi zao wageni ni elfu 12....