Lebo ya WCB kuchoma gari moto!!?!

Lebo ya WCB kuchoma gari moto!!?!

Freyzem

JF-Expert Member
Joined
Jun 29, 2013
Posts
10,120
Reaction score
24,667
Kama Kichwa cha habari kinavyojieleza Meneja wa Diamond Sallam Sk Mendez Akihojiwa na XXL Live pale mlimani City alisema wanapanga kupandisha gari Jukwaani na kulipiga kiberiti live watu wakishuhudia siku ya Party ya Wasafi …

Amedai stunt kama hizo zinasaidia kufanya mziki wetu uendelee kuwa gumzo Afrika na kukua zaidi…..
...Ngumu kumeza, hivi hii imekaaje? Kuna wasanii/lebo au kikundi chochote kilichowahi kufanya kufuru kama hiyo jukwaani humu duniani?
WCB Kiboko aisee!!!
 
Misifa ya kipumbavu hela waliyo nunulia hilo gari wangetoa msaada kwa wasio jiweza ingekuwa poa sana lakini maamuzi ni yao!
Mara ngap wametoa misaada kwa wasiojiweza? Au kila hela yao inatakiwa iende huko? Je mfano unajua pesa zake zinazid kuwa nying kwa mbinu gan? Je kama hiyo ni moja ya mbinu ya kuleta mara dufu ya ile aliyonunulia gari? Then zikishajiongeza ndio awape hao wasiojiweza? Biashara ni kichwani
 
Niliwahi kusikia kuna wasanii huko Marekani walinunua ndege(Aeroplane) mpyaaaa wakaipiga kiberiti.
 
Misifa ya kipumbavu hela waliyo nunulia hilo gari wangetoa msaada kwa wasio jiweza ingekuwa poa sana lakini maamuzi ni yao!
Mkuu hela ama Mali zako kuna yeyote anayekupangia matumizi yake?, acha roho chungu pesa watafute wao ww uwapangie jinsi ya kuzitumia Inamake sense kweli, hili tatiz sijui litaisha Lin tz watu hawafanyi kaz kwa bidii, juhudi na maarifa wanabaki kulilia misaada tena wanaona kama haki yao ya msingi
 
Stunt za kawaida sana... watu wanachoma moto mpaka pesa...
 
Dunia Uwanja wa Fujo


Nitaenda niwahi walau screpa naweza rudisha kiingilio....
Sitashangaa kusikia watu wakililia gari kama vile walichangia kulinunua.


Kibiashara poa kisheria je? Wasije msumbua kama Sare za jeshi kipindi kile....

Hongera Almasi
 
Dunia Uwanja wa Fujo


Nitaenda niwahi walau screpa naweza rudisha kiingilio....
Sitashangaa kusikia watu wakililia gari kama vile walichangia kulinunua.


Kibiashara poa kisheria je? Wasije msumbua kama Sare za jeshi kipindi kile....

Hongera Almasi
Unawaza kama mimi...
Wakitekeleza hilo watu wataanza kuleta vifungu, maana hiyo inaweza kuwa fursa na kuwapatia ulaji wasaka tonge...
 
Back
Top Bottom