Lebron James anunua nyumba ya dala milioni tisa!

Jikoni hapo kwa kina naniliu....









 
The Infinity pool....





Terrace overlooking the bay....

 
after five years he gone be bankrupt!!,by the way huyu ndg yetu mjamaa hasheem anapewa bei gani kwa mwaka?
 
Hapa nako nd'o kwa Michael Jordan ($12.4million)....


 
Kwa D-Wade ambako bei ni $10.65 million....


 
kuna mengi ya kuongea hapa mkuu titchaz,but sio leo.kesho
 
after five years he gone be bankrupt!!,by the way huyu ndg yetu mjamaa hasheem anapewa bei gani kwa mwaka?

Usihofu, hajanunua kwa cash , analipia pole pole, pale yatakapo mshinda au yule Shaniqua wake waki divosi wanaweza iuza hiyo nyumba kwa thamani zaidi.
 
Hawa jamaa they deserve to live and enjoy the fruits of their hard labour....King James (Lebron) kuendelea kuwa juu kwa miaka kadhaa sasa sio kazi ndogo. Ni Matunda ya nidhamu ya hali ya juu, kujituma katika mazoezi na kuzingatia malezi ya kimichezo kutoka kwa kocha wake!! Leo hapa kwetu mwanamichezo anashindwa kuwa kwenye form kwa miaka miwili tu.....kutwa kusoma magazeti ya udaku kuona wmemwagia ujiko gani aingia uswazi akakamate demu na pombe, vichwa hivyo wanaanza kujibizana na makocha nk..sijui ni lini watabadilika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…