Lee Makwiny

Lee Makwiny

fimboyaukwaju

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2020
Posts
2,977
Reaction score
3,798
I like the guy na program yake kule utube,japo kuna baadhi ya topic huwa simuungi mkono,lakini nampenda na huwa nacheka sana anapoomba hela ya kununua kahawa kutoka kwa wanaopenda kutazama chanel yake,200 bobs.Keep it up jaduong
 
Kitu ambacho nina uthubutu wa kuomba ni kazi tuu. Vingine nakufa na tai yangu shingoni.

Hata hiyo naagalia nimuombe nani nani nimuache apite.
 
Back
Top Bottom