goldie ink
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 5,634
- 9,149
Habari wanachama wote wa jamii forums na viongozi wote kwa ujumla.
Naamini jamii forums ni mtandao bora wa kitanzania katika kujua habari mbalimbali katika jamii na kukufanya kuwa mmoja wapo wa ( The great thinker )
Moja kwa moja kwenye mada husika ni kuhusu matumizi ya magari ambayo usukani wake upo upande wa kushoto, lakini katika mfumo wetu wa miundombinu ya barabara ya Tanzania, na afrika ya mashariki kwa ujumla magari yana usukani ambao upo upande wa kulia, na vigumu ( left handed car ) kutumika katika barabara zetu japo chache zipo zinatumika nchini.
Mimi ni mhanga mmoja wapo ambao napenda kutumia magari yenye left hand drive, kutokana na mimi binafsi kutumia zaidi mkono wa kushoto hivyo mapenzi yangu ni kutumia gari za aina hii kwa miaka ya mbeleni.
Vile vile magari mengi ambayo watanzania na watu wa kanda ya afrika ya mashariki kwa ujumla kutumia magari ya right hand na kuagiza uingereza, Japan n.k kwangu gari ya mjapan bado sihitaji kutumia napenda nitumie gari ya mzungu ambazo mara nyingi hutoka ulaya na mfumo wake uwe kushoto, ( left hand drive )
Kwa ushauri zaidi ni maradha gani nitapata endapo nitatumia gari hizi za left handed car.
Vile vile itakuwa ni gharama kuagiza magari yenye mfumo huu wa left hand drive.
Asanteni wana greti thinkaz.
[emoji4] [emoji111]
Naamini jamii forums ni mtandao bora wa kitanzania katika kujua habari mbalimbali katika jamii na kukufanya kuwa mmoja wapo wa ( The great thinker )
Moja kwa moja kwenye mada husika ni kuhusu matumizi ya magari ambayo usukani wake upo upande wa kushoto, lakini katika mfumo wetu wa miundombinu ya barabara ya Tanzania, na afrika ya mashariki kwa ujumla magari yana usukani ambao upo upande wa kulia, na vigumu ( left handed car ) kutumika katika barabara zetu japo chache zipo zinatumika nchini.
Mimi ni mhanga mmoja wapo ambao napenda kutumia magari yenye left hand drive, kutokana na mimi binafsi kutumia zaidi mkono wa kushoto hivyo mapenzi yangu ni kutumia gari za aina hii kwa miaka ya mbeleni.
Vile vile magari mengi ambayo watanzania na watu wa kanda ya afrika ya mashariki kwa ujumla kutumia magari ya right hand na kuagiza uingereza, Japan n.k kwangu gari ya mjapan bado sihitaji kutumia napenda nitumie gari ya mzungu ambazo mara nyingi hutoka ulaya na mfumo wake uwe kushoto, ( left hand drive )
Kwa ushauri zaidi ni maradha gani nitapata endapo nitatumia gari hizi za left handed car.
Vile vile itakuwa ni gharama kuagiza magari yenye mfumo huu wa left hand drive.
Asanteni wana greti thinkaz.
[emoji4] [emoji111]