Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
21 May 2020 — "Niwakumbushe mabalozi kuwa balozi namba moja ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ... Palamagamba Kabudi, Waziri wa Mambo ya Nje wa Tanzania anasema ..source : twitter.com
Dogo povu tuu.....hatuna wanasiasa wajao
Hivi vibushuti vinatoka wapi Yarabi. Mimi nilidhani ni yule naibu spika wa bunge letu lakini kumbe siye. Hawa wote mimi huita ni ''hasara ya Taifa''. Na mbaya zaidi wako wengi kweli kweli. Kina n'tokeje!
Sema tena na tena na tena. Na wako wengi kweli kweli. Hawa ndiyo ma-DC watarajiwa. Kweli inabidi turudi kwenye maombi sasa ila Mungu aingilie kati kutunasua kutoka kwenye hili tope tuliloingia. Yaani kwenye siasa na uongozi kumekuwa ndiyo makao makuu ya wajinga na weruvu na wenye akili wamebaki mitaani kusaga lami! Hivi mna uhakika huyu siyo yule naibu supika wa bunge jamani?Chawa kama hawa ni Very Very Dangerous
View attachment 2001874
Hivi vibushuti vinatoka wapi Yarabi. Mimi nilidhani ni yule naibu spika wa bunge letu lakini kumbe siye. Hawa wote mimi huita ni ''hasara ya Taifa''. Na mbaya zaidi wako wengi kweli kweli. Kina n'tokeje!
hivi kwa nini awamu hii mashoga wengi wamepewa shavu katika teuzi?
hivi kwa nini awamu hii mashoga wengi wamepewa shavu katika teuzi?
Kila tawala ina kipaumbele chake kutokana na nyakati zilizopo, changamoto, fursa, michezo ya kisiasa nk
Kijana mwenzangu ameelezea vyema tu.....
Unamsingizia....Haka kajamaa kanaonekana kana uwezo wa kumkana hata mama yake mzazi kama kuna maslahi binafsi.
Kwani maongezi mema ni lazima yawe yale yenye kufurahisha mtazamo wako?!!!Mbatia ameshasema kuwa nchi inapitia kigumu mana inakabiliwa na janga la uongozi. Huyu soon atateuliwa kuwa DED au DC hajui hata anavhokiongea.
"Nitasema kweli daima, fitina kwangu mwiko" - mwanaCCM / TANU
Chama cha TANU ni chama kilichosaidia sana katika harakati za kuikomboa nchi yetu katika makucha ya ukoloni chini ya Uongozi madhubuti wa Hayati Julius K. Nyerere.Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) NEC, Jaffari Kubecha ameamua kutumia ahadi ya mojawapo ya mwanachama wa CCM kuwa - "Nitasema kweli daima fitina kwangu mwiko" mwisho wa nukuu.