Pre GE2025 Legacy ya Magufuli ya mwaka 2019 na 2020 kwenye uchaguzi itaendelea kutumika kama kitabu kwa watawala wa CCM

Pre GE2025 Legacy ya Magufuli ya mwaka 2019 na 2020 kwenye uchaguzi itaendelea kutumika kama kitabu kwa watawala wa CCM

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mpigania uhuru wa pili

JF-Expert Member
Joined
Apr 12, 2023
Posts
3,380
Reaction score
6,376
Mkoa wa Dar es Salaam wenye mitaa 636 wamekata majina ya wagombea wa CHADEMA 571. Wamebaki wagombea 45 tuDar es salaam yenye wajumbe wa Serikali za mitaa 3,822 wamekata majina ya wagombea wa ujumbe kupitia CHADEMA 3711, wamebakia 111 tuWatendaji wa Kata na Mitaa wamepewa maelekezo ya kutowateua wagombea wa CHADEMA.

Wagombea wachache walioachwa bila kuenguliwa, kuna mkakati wa kuwaondoa wote kupitia mapingamizi. Wagombea wa CCM wamepewa maelekezo ya kuwawekea mapingamizi wagombea hao wachache wa CHADEMA ili CCM wabaki pekee yao kwa 100%.

Kazi hii inafanywa na wakurugenzi wa Halmashauri, Wakuu wa Wilaya (DC) na Wakuu wa Usalama wa Taifa (DSO) wa Wilaya zote za Dar es SalaamHaya ni majaribu makubwa lakini tutayashinda na Dar es salaam itaenda kuandika historia ya kutetea na kuhami Demokrasia.

Tutapambana mapambano ambayo hayajawahi kutokea,Mimi nitaongoza mapambano haya.Boniface Jacob Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Pwani.
 
karma alimfundisha in a hard way. alisema wazi sehemu yenye mpinzani hapatakua na mirad ya maendeleo .

arrogant send him to the grave
 
Wagombeaji uongozi wa serikali za mitaa waliikosa sifa na vigezo stahiki vya kisheria na kikatiba hawastahili kuwa wangombea, ni muhimu sana wakaenguliwa mara moja ili hatimae wenye sifa pekee wapate fursa ya kugombea uongozi huo.

wenye pingamizi wawasilishe pingamizi zao kwenye mamlaka husika 🐒
 
Back
Top Bottom