Petro E. Mselewa
JF-Expert Member
- Dec 27, 2012
- 10,307
- 25,932
Akishinda mechi hiyo anakuwa bingwaHapo utashangaa Man Utd anakaa
Mim ni kipenzi cha liverpool ila leicester lazima achukue ubingwa hata kimeno nasemaLeicester ndio bingwa, afe kipa afe striker
Akishinda mechi hiyo anakuwa bingwa
acha mpira wa akina Jerry Muro...kule ni ulayaWakubwa wameshapanga hakuna.spurs wala nin lazima madogo wachukue ndoo ikiwa hata kwa kulegeza kama wafungwe ila spurs wasichukue taji
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] ya Arse8 yamekushindaKwa kwel leicester nme wapenda bure na wawe mabingwa tuu
Wakubwa wameshapanga hakuna.spurs wala nin lazima madogo wachukue ndoo ikiwa hata kwa kulegeza kama wafungwe ila spurs wasichukue taji
Bahat mbaya mkuu mm.sio.mshabiki wa ligi ya tanzania kabisa na wala sina mpango labda nije.shabikia.panone fc ikipanda ligi kuu mybeSiasa za kina Malinzi zinakuharibu. Kipa anaenda kunya 20 minutes katikati ya Mchezo ili kupoteza muda timu iliyohonga TFF ipande Ligi kuu!
bt nimecheka hapo kipa andaenda kujisaidia dk 20 dah mpira wa bongo jau kweliSiasa za kina Malinzi zinakuharibu. Kipa anaenda kunya 20 minutes katikati ya Mchezo ili kupoteza muda timu iliyohonga TFF ipande Ligi kuu!