Leicester City: Mechi tatu, 'points' tatu

Petro E. Mselewa

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2012
Posts
10,307
Reaction score
25,932
Baada ya Spurs kwenda sare ya 1-1 na West Brom jana,uzito wa ubingwa wa Leicester umepungua. Kimahesabu,Spurs wenye alama 69 sasa,watafikisha alama 78 kama watashinda michezo yao mitatu iliyosalia.

Leicester yenye alama 76 sasa,yahitaji alama 3 ili kuwa na alama 79 zisizoweza kufikiwa na Spurs,Man City wala Arsenal katika kutwaa kwa mara ya kwanza ubingwa wa EPL. Mechi tatu za Leicester zilizosalia ni za Man U,Everton na Chelsea.
 
hao ni mabingwa tayari wapo seriuos kuriko watu wanavyowachukulia hata spurs angeshinda jana hawa jamaa wamedhamilia maana watu waliwadharau ndio maana wengine mpaka sasa hawaamini ni timu iliyofungwa mechi chache nadhani hazizidi tatu na zingine sare na kushinda..
 
Wakubwa wameshapanga hakuna.spurs wala nin lazima madogo wachukue ndoo ikiwa hata kwa kulegeza kama wafungwe ila spurs wasichukue taji
 
[emoji57] [emoji57] [emoji38] [emoji38]
 
Kwa kwel leicester nme wapenda bure na wawe mabingwa tuu
 
Wakichukua Old Traford itapendeza
but game yao na Everton home tayari sold out....
 
Usisahau pia kwamba, ikitokea LC wakafungwa mechi zote zilizosalia, na Spurs akafungwa moja na kushinda mbili, LC wanabeba. Hivyo, mechi ya Spurs na Chelsea, endapo Spurs atakalia, basi LC watakuwa mabingwa wapya wa EPL.
 
Wakubwa wameshapanga hakuna.spurs wala nin lazima madogo wachukue ndoo ikiwa hata kwa kulegeza kama wafungwe ila spurs wasichukue taji

Siasa za kina Malinzi zinakuharibu. Kipa anaenda kunya 20 minutes katikati ya Mchezo ili kupoteza muda timu iliyohonga TFF ipande Ligi kuu!
 
Siasa za kina Malinzi zinakuharibu. Kipa anaenda kunya 20 minutes katikati ya Mchezo ili kupoteza muda timu iliyohonga TFF ipande Ligi kuu!
Bahat mbaya mkuu mm.sio.mshabiki wa ligi ya tanzania kabisa na wala sina mpango labda nije.shabikia.panone fc ikipanda ligi kuu mybe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…