Husomeki kabisaaa!!!Watu tumepoteana humu
Hahahaha dah mtu wangu wa nguvu, kwanza nimekumiss mno, halafu sio kama sikuoni kule jukwaa pendwa la MAN U nakuona sema nashindwa kupiga vigelegele furaha vijana wameiminya maana matarajio yamezidi uhalisia, humu kwenyewe moja haikai mbili hailali.. [emoji13]Husomeki kabisaaa!!!
Unajuwa vyanzo vinavyo leta vifo ni vingi... Stress ndogo ndogo my dear ni sehemu moja wapoHaya kila la heri na Sevilla, msiogope you can make it.
Ujagee hata kunifariji best yangu.....Hahahaha dah mtu wangu wa nguvu, kwanza nimekumiss mno, halafu sio kama sikuoni kule jukwaa pendwa la MAN U nakuona sema nashindwa kupiga vigelegele furaha vijana wameiminya maana matarajio yamezidi uhalisia, humu kwenyewe moja haikai mbili hailali.. [emoji13]
Hahahaha pole sana komaaa utashinda...Unajuwa vyanzo vinavyo leta vifo ni vingi... Stress ndogo ndogo my dear ni sehemu moja wapo
As always as forever my dear will support you na kupeana faraja, sisi sote ni team moja sahivi hatutaki draw tena...Ujagee hata kunifariji best yangu.....
Wenyewe wapo busy, wanajitayarisha kushuka daraja.Ndugu zetu kwema humu mbona kumepoza?
Wajitahidi wakaze game zao zilizobaki, me wananishangaza kwenye UEFA wamejitahidi ila kwenye Premier huko ndo wanahemea mashine, ila bado wananafasi wakaze buti tuuh.Wenyewe wapo busy, wanajitayarisha kushuka daraja.
Kuna kaharufu ka kushuka daraja na kwenda kwenye championship msimu ujao.
Ranieri alishasema hili lililotokea msimu wa 2015/ 16 hujirudia kila baada ya miaka 20-28. Msimu huu wa 2016/ 17 ni wasindikizaji tu. Wenye karamu ni West Ham, Tottenham, Timu ya Malafyale (majogoo ya msituni), Arsenal na Chelsea.
mtani bahati Mbaya mimi nimechanjia Red kabisaaa!!!msimu ujao tunawapokea kombe
Link Leicester City, Special ThreadLeicester City ijitayarishe ku-beat Chelsea's record of finishing at 10th spot after winning the league in the previous season. Bye bye Leicester City.
Wameshahamia timu za man city na man united. Lakini sitegemei timu hizo zitabeba ubingwa wa msimu huu.
Leceister wajitahidi wasishuke daraja...wameishiwa pumzi kabisa
Sina shaka ulitekeleza ulicho ahidiHii timu ikichukua ubingwa natembea uchina yaani utupu tazara mpaka ubungo, Mwaka jana soton iliishiwa pumzi second round, ngoja tuone hawa Leicester city