Tisha-TOTO
JF-Expert Member
- Feb 10, 2010
- 1,175
- 604
Hii thread imeanzishwa baaada ya Lecester kuifunga Manutd?
Aston Villa wanaanza kutoa dozi kuanzia mechi inayofuata.Yeah! Kwa BPL, bado pabichi sana muda huu. Ikifika huko Feb, hata akina Aston Villa (Timu za mkiani) huwa wanaamka na kuifanya ligi kuwa tamu.
ok mkongwe wa football and especially england. umeshindaaaaaaSio kwamba hauna timu, ila ni MNAFIKI. Hii haina ubishi. Najua utabisha ila wee ni mnafiki, kama sio basi karibu ktk soka, wee ni mpenzi mpya wa EPL na umeanza shabikia na kufuatilia mpira msimu huu! Na unaposema hauna kifungo ktk soka, basi umeeihirisha kuwa wee ni bendera tu, hamna kitu hapo, Ukitaka kubisha bisha!
Ila sio mbaya, kufuata upepo inaruhusiwa.
Hapa die hard fans wa leicester tutakuwepo. kwanza tupongezane christmas tunakula vizuri
kuna watu washakariri kama ilivyo constant ya pie 3.14 au formula ambazo hazitobadilika kamwe kwamba. Arsenal,chelsea,man u na city na liver ndo wenye haki miliki. Ni ngumu sana kwa bundesliga,la liga,league 1 na serie A.kwamba timu iliyokaribia kushuka daraja msimu uliopita. eti iongoze kwa mzunguko wa kwanza mzima afu bado mbaki mkiamini mitimu mikubwa? wapenzi wa premier kazi wanayoAnachukua kama tukuyu walivyopanda na kubeba ndoo
kuna watu washakariri kama ilivyo constant ya pie 3.14 au formula ambazo hazitobadilika kamwe kwamba. Arsenal,chelsea,man u na city na liver ndo wenye haki miliki. Ni ngumu sana kwa bundesliga,la liga,league 1 na serie A.kwamba timu iliyokaribia kushuka daraja msimu uliopita. eti iongoze kwa mzunguko wa kwanza mzima afu bado mbaki mkiamini mitimu mikubwa? wapenzi wa premier kazi wanayo
kuna watu washakariri kama ilivyo constant ya pie 3.14 au formula ambazo hazitobadilika kamwe kwamba. Arsenal,chelsea,man u na city na liver ndo wenye haki miliki. Ni ngumu sana kwa bundesliga,la liga,league 1 na serie A.kwamba timu iliyokaribia kushuka daraja msimu uliopita. eti iongoze kwa mzunguko wa kwanza mzima afu bado mbaki mkiamini mitimu mikubwa? wapenzi wa premier kazi wanayo
Leceister mmeifahamu lini?
Hii thread imeanzishwa baaada ya Lecester kuifunga Manutd?
Kama mke wangu! Timu inayoshinda ndo anashabikia
Mimi nilianza kuifuatilia Leicester season ya 96-97 walikuwa wana mturuki mmoja anaitwa muzzy izzett alikuwa balaa sana yaani kama unavyomuona paollo di canio mtata na mtupiaji Mzuri.long live the foxes