ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,553
cevilla ni nani?Ni dk ya 74 uefa champions league,leicester wapo nyuma kwa goli 2-1 dhidi ya cevilla,nakumbuka week end iliyopita walifungwa na ki timu kidogo Millwall ktk Fa cup,tatizo nini?mabingwa hawa wanapigwa kila watiapo mguu kiwanjani?wacha tuone game itaishaje.
.bado 15 mins
Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
hawakubahatisha bali wapinzani wao walikuwa wabovu,chelsea alitakakushuka daraja msimu uliopita tena akiwa bingwa mtetezi lakini mwaka huu pamoja na ubovu wake anaongoza ligi kwa zaidi ya point 8 nalo hili unaliongeleaje?walibahatisha EPL. Aibu kweli yani timu inachukua ubingwa halaf msimu unaofuata inaelekea kushuka daraja
Mchawi ni Ranieri na katimuliwa .Ni dk ya 74 uefa champions league,leicester wapo nyuma kwa goli 2-1 dhidi ya cevilla,nakumbuka week end iliyopita walifungwa na ki timu kidogo Millwall ktk Fa cup,tatizo nini?mabingwa hawa wanapigwa kila watiapo mguu kiwanjani?wacha tuone game itaishaje.
.bado 15 mins
Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app