Yo Yo
JF-Expert Member
- May 31, 2008
- 11,210
- 1,720
Huyu hata JF haioni....unategema nini mafundisho yake kwa wanafunzi wake.Sana sana atawakaririsha vitabu vya zama na zama.
Anasema
Muonekano wa ofisi tu ni choka mbaya.....
Anasema
Kwa walio wengi internet ni kwa ajili ya kutumiana ujumbe wa kirafiki, kuangalia picha za pono, hali kadhalika simu ni kusalimiana tu. Wachache sana wanaotumia mawasiliano kujiendeleza kielimu, kutafuta maarifa na au kupata habari za masoko na biashara
Muonekano wa ofisi tu ni choka mbaya.....