johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Jana Rais wa Zanzibar Dkt. Mwinyi ameongea jambo zito sana kuhusu ACT Wazalendo, kwamba ni wapigaji tu walioifilisi Bandari.
Nategemea Godbless Lema atafafanua namna alivyopata Ukimbizi.
Wednesday, Ubarikiwe sana!
Nategemea Godbless Lema atafafanua namna alivyopata Ukimbizi.
Wednesday, Ubarikiwe sana!