Lema ataja sababu yakufuta 'Tweet' yake aliyopendekeza kuwa Mbowe anunuliwe gari kama zawadi ya kumuaga

Lema ataja sababu yakufuta 'Tweet' yake aliyopendekeza kuwa Mbowe anunuliwe gari kama zawadi ya kumuaga

the guardian 17

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2024
Posts
395
Reaction score
570
Mjumbe wa kamati kuu Godbless Lema baada ya kuandika kupitia ukurasa wake wa X akitaka Mwenyekiti mstaafu na mjumbe wa kamati kuu chadema Freeman Mbowe aagwe kwa kununuliwa gari, baadae alifuta tweet hiyo na kueleza kuwa jambo hilo linapaswa kwanza kujadiliwa katika vikao kwanza.

Screenshot 2025-01-26 170910.png

Soma: Lema: Tumuage M/kiti Mstaafu Mbowe kwa heshima, tumtafutie gari
 
Mbowe anaagwa vp ikiwa Bado ataendelea kuwa mshauri na mfadhili wa chama?
 
Duh aiseee bado wanataka pesa za michango ya wanachama kununulia gari la mbowe
 
Mjumbe wa kamati kuu Godbless Lema baada ya kuandika kupitia ukurasa wake wa X akitaka Mwenyekiti mstaafu na mjumbe wa kamati kuu chadema Freeman Mbowe aagwe kwa kununuliwa gari, baadae alifuta tweet hiyo na kueleza kuwa jambo hilo linapaswa kwanza kujadiliwa katika vikao kwanza.

View attachment 3214840
Soma: Lema: Tumuage M/kiti Mstaafu Mbowe kwa heshima, tumtafutie gari
Mpuuzi mkubwa huyu mwizi wa magari

Wanajikomba baada ya kumdhalilisha na kuutweza utu wake


SOME COMMENTS FROM LEMAS TWEET


1. Njia nzuri ya kumuaga &kutambua mchango wa Mbowe napendekeza kina lema&wenzake watubu hadharani kwamba tuhuma walizompakazia FAM zilkuwa porojo.Wengi tunaamin Mbowe aljtoa kwa hali &mali kuijenga CDM,porojo za uchaguzi mbali na FAM wengi zmetuachia majeraha &maumivu

2. Mbowe anahitaji gari kweli? Haya ni mawazo ya kimaskini. Unitukane, useme mimi nimeuza chama kwa CCM, udhalilishe familia yangu halafu unipe gari?

3. , kama ngauti yangu anahitaji gari - which he does not, nitamtunuku. Mpeni heshima yake tu.
Mwenyekiti Freeman Mbowe haitaji zawadi ya gari ili kuonyesha kwamba wanamjali na kutambua mchango wake. Zawadi kubwa na ya heshima walitakiwa kuchunga kauli zao kipindi chote Cha uchaguzi ili kutovunja heshima yake. Kauli za kashfa kuhusu Rushwa haziwezi kufutwa kwa kununua gari
https://x.com/fmsafiri75

4. Njia ambayo inaweza ikafanya mkalala usingizi angalau ni kutoka na kutaja mambo ambayo mlimsinginzia ili mchukue nafasi yake.

5. kama hili kweli lilikuwa pendekezo lako, niseme tu binafsi siliungi mkono na fedha hizo zipelekwe kutekeleza mikakati ya chama majimboni na harakati za chama.Kwasababu hajasitafu kwa hiari, ameshindwa uchaguzi. Historia iandike hivyo.


6. njooni huku mkutane na kituko cha Land Cruzer anayotaka kununuliwa Mwenyekiti kama zawadi! Hivi siku hizi magari yamekuwa ndio kila kitu?


7. Hawa ndiyo viongozi wa Chadema, kweli!!?Hivi kumuenzi Mbowe, mwenye legacy ya demokrasia,majadiliano na kupingana kwa hoja, nyinyi ambao hata kazi hamna, wabangaizaji, mmefanya wafuasi wenu ndiyo mtaji!?Mlimtukana FAM kila aina ya tusi,hamkuwazia yapo maisha baada ya siasa!?
 
Mjumbe wa kamati kuu Godbless Lema baada ya kuandika kupitia ukurasa wake wa X akitaka Mwenyekiti mstaafu na mjumbe wa kamati kuu chadema Freeman Mbowe aagwe kwa kununuliwa gari, baadae alifuta tweet hiyo na kueleza kuwa jambo hilo linapaswa kwanza kujadiliwa katika vikao kwanza.

View attachment 3214840
Soma: Lema: Tumuage M/kiti Mstaafu Mbowe kwa heshima, tumtafutie gari
Katoa ufafanuzi unaoeleweka tofauti na ule wa Chalamila na majibu yake ya kifedhuli kwa mama mja mzito
 
wazo lake sio baya lakini sio zuri, mbowe atafutiwe tuzo ya juu kabisa kama zawadi, ila kwa umaskini wa chadema na kwa utajiri wa mbowe, ni upuuzi masikini kuchangishana kumchangia tajiri. pili mbowe ataendelea kuwa mjumbe na kushiriki harakati za chama hivyo hakuna send off yoyote mnayolazimika kumfanyia.
kwa hili bwana lema umepuyanga, na kwa kua mnajenga kizazi chenye ujasiri wa kukosoa, basi kwa hili tuna haki ya kukukosoa.
kuna mambo ya msingi ya kuchangia, sio kumpa bilionea mbowe gari
 
Mpuuzi mkubwa huyu mwizi wa magari

Wanajikomba baada ya kumdhalilisha na kuutweza utu wake


SOME COMMENTS FROM LEMAS TWEET


1. Njia nzuri ya kumuaga &kutambua mchango wa Mbowe napendekeza kina lema&wenzake watubu hadharani kwamba tuhuma walizompakazia FAM zilkuwa porojo.Wengi tunaamin Mbowe aljtoa kwa hali &mali kuijenga CDM,porojo za uchaguzi mbali na FAM wengi zmetuachia majeraha &maumivu

2. Mbowe anahitaji gari kweli? Haya ni mawazo ya kimaskini. Unitukane, useme mimi nimeuza chama kwa CCM, udhalilishe familia yangu halafu unipe gari?

3. , kama ngauti yangu anahitaji gari - which he does not, nitamtunuku. Mpeni heshima yake tu.
Mwenyekiti Freeman Mbowe haitaji zawadi ya gari ili kuonyesha kwamba wanamjali na kutambua mchango wake. Zawadi kubwa na ya heshima walitakiwa kuchunga kauli zao kipindi chote Cha uchaguzi ili kutovunja heshima yake. Kauli za kashfa kuhusu Rushwa haziwezi kufutwa kwa kununua gari
x.com

4. Njia ambayo inaweza ikafanya mkalala usingizi angalau ni kutoka na kutaja mambo ambayo mlimsinginzia ili mchukue nafasi yake.

5. kama hili kweli lilikuwa pendekezo lako, niseme tu binafsi siliungi mkono na fedha hizo zipelekwe kutekeleza mikakati ya chama majimboni na harakati za chama.Kwasababu hajasitafu kwa hiari, ameshindwa uchaguzi. Historia iandike hivyo.


6. njooni huku mkutane na kituko cha Land Cruzer anayotaka kununuliwa Mwenyekiti kama zawadi! Hivi siku hizi magari yamekuwa ndio kila kitu?


7. Hawa ndiyo viongozi wa Chadema, kweli!!?Hivi kumuenzi Mbowe, mwenye legacy ya demokrasia,majadiliano na kupingana kwa hoja, nyinyi ambao hata kazi hamna, wabangaizaji, mmefanya wafuasi wenu ndiyo mtaji!?Mlimtukana FAM kila aina ya tusi,hamkuwazia yapo maisha baada ya siasa!?
Dr. Lillian punguza povu utapata sonona bure,mbona Mr. mwenyewe amekubali yaishe?
 
Mbowe alitoa milioni 250 kwenye kikao cha mkutano mkuu ,then akatoa milion 300 kugharamikia uchaguzi ,yaani ndani ya miezi mitatu ametoa zaidi ya milion 550 kutoka mfukoni mwake ,then Lema anatoka hadharani kutoa wazo la kumpa Mwamba gari Used Toyota la milioni 50?? Really? Like serioulsy?
 
Back
Top Bottom