U Uzalendo wa Kitanzania JF-Expert Member Joined Mar 8, 2020 Posts 3,585 Reaction score 8,106 Sep 15, 2020 #1 Leo tarehe 15/9/2020, nitahutubia wakazi wa Arusha stendi ya Hiace Kilombero Sokoni. Mkutano ni saa nane mchana. Hakuna muziki wala nauli na unapaswa kufika bila kukosa. Karibuni wote.
Leo tarehe 15/9/2020, nitahutubia wakazi wa Arusha stendi ya Hiace Kilombero Sokoni. Mkutano ni saa nane mchana. Hakuna muziki wala nauli na unapaswa kufika bila kukosa. Karibuni wote.
Kanungila Karim JF-Expert Member Joined Apr 29, 2016 Posts 20,743 Reaction score 25,564 Sep 15, 2020 #2 Sawa
mugah di matheo JF-Expert Member Joined Jul 28, 2018 Posts 6,307 Reaction score 12,410 Sep 15, 2020 #3 Tutaenda kujaza uwanja
W Wakudadavuwa JF-Expert Member Joined Feb 17, 2016 Posts 17,506 Reaction score 16,003 Sep 15, 2020 #4 Huyu dogo bhana sasa kama kaamua kwenda kupiga porojo stendi nauli ya nini? kweli ''ukiona kenge anatoa damu masikioni ujue anakufa''
Huyu dogo bhana sasa kama kaamua kwenda kupiga porojo stendi nauli ya nini? kweli ''ukiona kenge anatoa damu masikioni ujue anakufa''
J Jor zoom Member Joined Nov 13, 2018 Posts 39 Reaction score 42 Sep 15, 2020 #5 mugah di mathew said: Tutaendaa kujaza uwanja Click to expand... Hakika ✊