Pre GE2025 Lema: Kupitia Tone tone kutapunguza utegemezi wa Ruzuku

Pre GE2025 Lema: Kupitia Tone tone kutapunguza utegemezi wa Ruzuku

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mkalukungone mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
862
Reaction score
1,755
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo Godbless Lema na Mwenyekiti wa Kamati ndogo ya fedha ya chama hicho amesema endapo wanachama na wadau wakikichangia chama hicho kwa wingi kwa kiasi walichonacho kwani fedha hizo zitakisaidia chama hicho kufanya kazi zake na kuwafikia wananchi wengi.

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Soma Pia: CHADEMA yakusanya zaidi ya Milioni 64 kupitia kampeni ya Tone Tone


Akizungumza leo machi 14 kwenye tukio la 'Tone Tone Night'

Lema amesema fedha hizo zitakisaidia chama kuacha hata kutegemea ruzuku ambayo wanapewa na serikali kila mwezi.

 
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo Godbless Lema na Mwenyekiti wa Kamati ndogo ya fedha ya chama hicho amesema endapo wanachama na wadau wakikichangia chama hicho kwa wingi kwa kiasi walichonacho kwani fedha hizo zitakisaidia chama hicho kufanya kazi zake na kuwafikia wananchi wengi.

Akizungumza leo machi 14 kwenye tukio la 'Tone Tone Night'

Lema amesema fedha hizo zitakisaidia chama kuacha hata kutegemea ruzuku ambayo wanapewa na serikali kila mwezi.
Last week zilichangwa milioni 64,
kati ya hizo milioni 45 zimetumika kama nauli ya kwenda Angola na kurudi,

kuna kuepuka utegemezi hapo kweli gentleman kama sio utapeli wa kidigitali wa pesa za wananchi maskini wa Tanzania?🐒
 
Last week zilichangwa milioni 64,
kati ya hizo milioni 45 zimetumika kama nauli ya kwenda Angola na kurudi,

kuna kuepuka utegemezi hapo kweli gentleman kama sio utapeli wa kidigitali wa pesa za wananchi maskini wa Tanzania?🐒
Hata hujui Angola walialikwa na kulipiwa? Roho mbaya itakuua bro. Utatunga mauongo ili yakusaidie nini? Desperate!
 
Hata hujui Angola walialikwa na kulipiwa? Roho mbaya itakuua bro. Utatunga mauongo ili yakusaidie nini? Desperate!
Semina ukialikwa unalipiwa? Wewe ndio unalipa hadi semina fee nauli na accommodation
 
Last week zilichangwa milioni 64,
kati ya hizo milioni 45 zimetumika kama nauli ya kwenda Angola na kurudi,

kuna kuepuka utegemezi hapo kweli gentleman kama sio utapeli wa kidigitali wa pesa za wananchi maskini wa Tanzania?🐒
No refoms, no election, wewe ni mke wao wa kujua kila kinachoendelea
 
Last week zilichangwa milioni 64,
kati ya hizo milioni 45 zimetumika kama nauli ya kwenda Angola na kurudi,

kuna kuepuka utegemezi hapo kweli gentleman kama sio utapeli wa kidigitali wa pesa za wananchi maskini wa Tanzania?🐒
Ndiyo maana CCM wanaogopa sana kushindwa uRais maana yule Rais ambaye atashindwa lazima atashitakiwa kwa makosa yote haya. Hizo pesa za vikao vyenu mnatoa wapi? Muda huo ukifika audit itafanyika na kuona mliiba kiasi gani. Hapo hawezi kusalimika, hakitabaki kitu, jiwe juu ya jiwe na mtasaga meno kwa majuto.

Lema yupo right
 
Kwa tafsiri nyepesi, kuwa tegemezi hakuepukiki. Usipokuwa tegemezi wa ruzuku utakuwa tegemezi wa tone tone. Muhimu ni kujiridhisha na chanzo cha mapato ambacho ni endelevu. Ili upate ruzuku lazima sheria iendelee kuruhusu na kama chama kishiriki chaguzi na kupata kura zinazowesha kupata ruzuku. Kwa upande wa tone tone ni mashabiki na wanachama kuendelea kuelewa na kujitoa kwa ajili ya chama chao jambo ambalo linahitaji muda kujiridhisha kama litakuwa endelevu.
 
Ndiyo maana CCM wanaogopa sana kushindwa uRais maana yule Rais ambaye atashindwa lazima atashitakiwa kwa makosa yote haya. Hizo pesa za vikao vyenu mnatoa wapi? Muda huo ukifika audit itafanyika na kuona mliiba kiasi gani. Hapo hawezi kusalimika, hakitabaki kitu, jiwe juu ya jiwe na mtasaga meno kwa majuto.

Lema yupo right
Gentleman,
hakipo chama cha siasa cha upinzani Tanzania chenye nia, mipango wala uwezo wa kushinda uchaguzi, kushika dollar, kuunda serikali na kuongoza nchi ispokua CCM pekeyake.
Uende ukamueleze na Mwenyekiti wa chama chako kuhusu hili.
Chama cha siasa cha kuishinda CCM bado hakijaanzishwa na hakitarajiwi kuanzishwa karne hii.

Kwahivyo gentleman,
huna haja ya kubabaika na imani potofu na ramli za kujifariji 🐒
 
Hata hujui Angola walialikwa na kulipiwa? Roho mbaya itakuua bro. Utatunga mauongo ili yakusaidie nini? Desperate!
hao vibaka na matapeli wa kisiasa wa chadema walijilipa kwanza mamilioni ya tone tone kabla hawajaondoka kama ulikua hujui gentleman,

tunaposema unatapeliwa na vibaka kuchangia matapeli tunamaanisha, we shupaza shingo tu na watoto wako wana lala njaa kwasabb ya kimbelembele chako cha kuchangia wapigaji na familia zao 🐒
 
No reforms no election, wewe ulishatapeliwa muda mrefu na matapeli ya kijani kibichi hadi akili imechakaa sn,
maskini dah,

gentleman,
nachokaje kusema ukweli hali ya kua ukweli hauchoshi?

ni kitu mbaya sana anaejiona ana akili timamu kukubali kutapeliwa pesa zake kirahisi sana tena kidigitali kabisaa na matapeli na vibaka wa kisiasa 🐒
 
Back
Top Bottom