Tetesi: Lema kutikisa Dodoma leo tarehe 19/01/2025, Amfuata Msigwa

Tetesi: Lema kutikisa Dodoma leo tarehe 19/01/2025, Amfuata Msigwa

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Ni suala la muda tu, mambo yote yako tayari. Ni mtikisiko mkubwa.

Screenshot_20250119-120909.jpg
 
Chadema siyo chama, ni saccos ya Mbowe. Hivo muacheni Lema ajiunge na chama.
 
Hapa Lema anaonekana alikuwa chalii sana. Ilikuwa mwaka gani hii? 2010?
Hata babu alikuwa hajapata nywele za sembe wala usingizi bungeni 😁

Mue mnakagua kwanza picha kabla ya kupost, picha za kitambo mpeleke maktaba
 
Lema: "...Kinachoniuma mimi siyo Msigwa kuondoka CHADEMA, kinachoniuma sana ni Msigwa kwenda CCM..."
Alisikika
 
Back
Top Bottom