Pre GE2025 Lema, Makonda na Gambo vijana watatu wanaochukiana kutoka kwenye uvungu wa mioyo yao

Pre GE2025 Lema, Makonda na Gambo vijana watatu wanaochukiana kutoka kwenye uvungu wa mioyo yao

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

MSAGA SUMU

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2015
Posts
6,661
Reaction score
21,656
Siasa za Arusha ni tofauti kidogo.

Lema hampendi Makonda, Makonda hampendi Gambo, Gambo hampendi Lema, Lema hawapendi hao wote wawili. Makonda anawachukia wote, Gambo anawachukia pia yaani ni vurugu ile balaa.

Wote wanapenda mitandao na attention.

Halafu ilivyo bahati mbaya wote wamejikuta wapo Arusha. Ebu fikiria kipindi hiki na Lema angekuwa yuko kwenye game labda hata Meya,mambo yangechangamka sana.

Siku moja inabidi wafungiwe chumba wapewe na gloves za bonding wamalize tofauti zao.

Sema Gambo na wewe ulikaa kinyonge sana, ulitakiwa urushe hata ngumi, sio unameza tu mate. Kamati ya maadili ingeelewa.
 
Siasa za Arusha ni tofauti kidogo.

Lema hampendi Makonda, Makonda hampendi Gambo, Gambo hampendi Lema, Lema hawapendi hao wote wawili. Makonda anawachukia wote, Gambo anawachukia pia yaani ni vurugu ile balaa.

Wote wanapenda mitandao na attention.

Halafu ilivyo bahati mbaya wote wamejikuta wapo Arusha. Ebu fikiria kipindi hiki na Lema angekuwa yuko kwenye game labda hata Meya,mambo yangechangamka sana.

Siku moja inabidi wafungiwe chumba wapewe na gloves za bonding wamalize tofauti zao.

Sema Gambo na wewe ulikaa kinyonge sana, ulitakiwa urushe hata ngumi, sio unameza tu mate. Kamati ya maadili ingeelewa.
Asee
 
Kukaa kimya ni hekima nzuri sana ya kiuongozi aliyofanya Gambo. Laiti angesema hata neno moja ingekuwa ni majuto for now.
 
chuki au wanapambania matumbo yao mkuu wote hao wachumia tumbo tu.........kama wengekua na nia ya dhati kutumikia wananchi/lengo mama au moya kusingekua na hizi drama za utoto
 
Uongozi ni Jalalq ile kitendo cha Gambo Kukaa Kimya ni ishara tosha kuwa amepata Ukomqvu wa kisiasa
 
Nasisi mabosi wao tunafurahia tu hizi drama zinazotokana na matumizi ya our hard earned cash... Ifike wakati tuanze kuangalia results tu (kuchukiana kwao au kupendana ibakie kuwa kwa faida na hasara yao)
 
Siasa za Arusha ni tofauti kidogo.

Lema hampendi Makonda, Makonda hampendi Gambo, Gambo hampendi Lema, Lema hawapendi hao wote wawili. Makonda anawachukia wote, Gambo anawachukia pia yaani ni vurugu ile balaa.

Wote wanapenda mitandao na attention.

Halafu ilivyo bahati mbaya wote wamejikuta wapo Arusha. Ebu fikiria kipindi hiki na Lema angekuwa yuko kwenye game labda hata Meya,mambo yangechangamka sana.

Siku moja inabidi wafungiwe chumba wapewe na gloves za bonding wamalize tofauti zao.

Sema Gambo na wewe ulikaa kinyonge sana, ulitakiwa urushe hata ngumi, sio unameza tu mate. Kamati ya maadili ingeelewa.
Hivi ipi ni rahisi kutengeneza pair kati ya
  1. Lema na Makonda
  2. Lema na Gambo
  3. Gambo na Makonda
 
Siasa za Arusha ni tofauti kidogo.

Lema hampendi Makonda, Makonda hampendi Gambo, Gambo hampendi Lema, Lema hawapendi hao wote wawili. Makonda anawachukia wote, Gambo anawachukia pia yaani ni vurugu ile balaa.

Wote wanapenda mitandao na attention.

Halafu ilivyo bahati mbaya wote wamejikuta wapo Arusha. Ebu fikiria kipindi hiki na Lema angekuwa yuko kwenye game labda hata Meya,mambo yangechangamka sana.

Siku moja inabidi wafungiwe chumba wapewe na gloves za bonding wamalize tofauti zao.

Sema Gambo na wewe ulikaa kinyonge sana, ulitakiwa urushe hata ngumi, sio unameza tu mate. Kamati ya maadili ingeelewa.
inaonesha Jiji la Arusha Kutamu sana
 
Eti ni Kweli Huwa unawalisha Sumu ya kuwamaliza pole pole Ili wasinganganie mamlakani?
 
chuki au wanapambania matumbo yao mkuu wote hao wachumia tumbo tu.........kama wengekua na nia ya dhati kutumikia wananchi/lengo mama au moya kusingekua na hizi drama za utoto
hamna chuki apo wote wanaza hela .....watoeni mishahara muone kama watagombana
 
Back
Top Bottom