Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Wadau na wanasheria tunaomba ufafanuzi iwapo wabunge hawa wa chadema wamefanya kosa kisheria kupiga picha na yule askari kwenye mkutano wa kisiasa.
Hivi kama yule mwanajeshi alifanya vile kwa hiari yake mh.Lema na Nassari watakuwa na cha kuhojiwa?
Wataalam wa sheria mtusaidie.
Hivi kama yule mwanajeshi alifanya vile kwa hiari yake mh.Lema na Nassari watakuwa na cha kuhojiwa?
Wataalam wa sheria mtusaidie.