Lema ndani ya iaa

R-CHUGA

Member
Joined
Mar 23, 2012
Posts
77
Reaction score
8
Ni mbunge wa Arusha mjini yupo chuo cha uhasibu Arusha akijaribu kuwatuliza wanafunzi wasifanye fujo baada ya mwanafunzi mwenzao kuchomwa visu jana hadi kufa wakati akitoka kujisomea usiku saa tatu.Tayari mkuu wa mkoa ameshawasili na amesema awezi kuuongea bila kipaza sauti wala awezi kuongea na watovu wa nidhami akaondoka zake.
 
Inaonyesha Mkuu wa Mkoa hajapenda ujio wa Kamanda Lema. Na hii utasikia CDM ndo wamechochea mgomo wa wanafunzi.
 
Mkuu wa mkoa atakuwa anakuwa analiwa.!!Aggghhrrr Sijapata kuona viongozi wa namna hii,labda ndio viongozi wa kuteuliwa na magogoni ndivyo walivyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…