Mkalukungone mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 862
- 1,755
Kupitia ukurasa wake wa mtandao wa X (zamani Twitter), Lema ameonesha kushangazwa na mwelekeo wa chama kuelekea uchaguzi mkuu wake unaotarajiwa kufanyika kesho, Jumanne, Januari 21, 2025.
"Unazuia impression ya wanachama wako kuja katika maeneo ya uchaguzi mkuu ndani ya chama? Hadi unaweka walinzi binafsi? Tumeanza lini hii tabia ya kukataa wanachama wetu kwenye mazingira ya vikao vyetu?" aliandika Lema kwa mshangao.
Aidha, Lema amewataka wajumbe wa chama hicho kutafakari kwa kina kabla ya kufanya maamuzi, akisisitiza kuwa viongozi ni Tundu na John Heche ndio watu sahihi wa kukivusha chama kutoka katika changamoto zilizopo.
"Unazuia impression ya wanachama wako kuja katika maeneo ya uchaguzi mkuu ndani ya chama? Hadi unaweka walinzi binafsi? Tumeanza lini hii tabia ya kukataa wanachama wetu kwenye mazingira ya vikao vyetu?" aliandika Lema kwa mshangao.
Aidha, Lema amewataka wajumbe wa chama hicho kutafakari kwa kina kabla ya kufanya maamuzi, akisisitiza kuwa viongozi ni Tundu na John Heche ndio watu sahihi wa kukivusha chama kutoka katika changamoto zilizopo.