Pre GE2025 Lema: Vijana wa CHADEMA wamekamatwa mkoani Iringa wakiwa safarini kuelekea Mbeya

Pre GE2025 Lema: Vijana wa CHADEMA wamekamatwa mkoani Iringa wakiwa safarini kuelekea Mbeya

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Kaskazini mh Godbless Lema amesema kundi la Vijana wa Chadema wakiwa njiani kuelekea Mbeya wamezuiwa na Polisi mkoani Iringa

Lema amesema Gen Z hao wanaelekea mkoani Mbeya kwenye mkutano

Lema ametoa taarifa ukurasani X.

IMG_20240811_122142.jpg
 
Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Kaskazini mh Godbless Lema amesema kundi la Vijana wa Chadema wakiwa njiani kuelekea Mbeya wamezuiwa na Polisi mkoani Iringa

Lema amesema Gen Z hao wanaelekea mkoani Mbeya kwenye mkutano

Lema ametoa taarifa ukurasani X

Ngoja nimtaarifu mzee Mgaya Ili tufiatilie hapo Central kwani Siasa siyo Uadui 🐼
Bongo hakuna Gen Z, waliopo bongo wote akili na vision zao ni za wastaafu
 
Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Kaskazini mh Godbless Lema amesema kundi la Vijana wa Chadema wakiwa njiani kuelekea Mbeya wamezuiwa na Polisi mkoani Iringa

Lema amesema Gen Z hao wanaelekea mkoani Mbeya kwenye mkutano

Lema ametoa taarifa ukurasani X

Ngoja nimtaarifu mzee Mgaya Ili tufiatilie hapo Central kwani Siasa siyo Uadui 🐼
wakapumzike sasa walikuwa hawana kazi za kufanya, huu ni muda wa maendeleo kwa Taifa na hatuna muda wa maandamano. Ila nawakumbusha tu kwamba kamanda mbowe na lisu walishindwa hiyo kazi
 
Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Kaskazini mh Godbless Lema amesema kundi la Vijana wa Chadema wakiwa njiani kuelekea Mbeya wamezuiwa na Polisi mkoani Iringa

Lema amesema Gen Z hao wanaelekea mkoani Mbeya kwenye mkutano

Lema ametoa taarifa ukurasani X

Ngoja nimtaarifu mzee Mgaya Ili tufiatilie hapo Central kwani Siasa siyo Uadui 🐼
Inawezekana hao polisi wanataka kuwapa lifti hao vijana ili wapite njia ya mkato kutokea Katavi.Wema wao ni wa kupigiwa mfano.
 
Nao walijulikanaje kuwa ni CHADEMA ? Vitu vingine tuwe tunatumia akili tu
Ukiishi na kipofu usimshike mkono !
 
Huyu Mama hana tofauti na Dikteta Magufuli.
 
Back
Top Bottom