johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
CCM wanahusika vipi na safari za Chadema?๐ผMbona CCM kila kitu wanategemea Polisi?
Bongo hakuna Gen Z, waliopo bongo wote akili na vision zao ni za wastaafuMwenyekiti wa Chadema Kanda ya Kaskazini mh Godbless Lema amesema kundi la Vijana wa Chadema wakiwa njiani kuelekea Mbeya wamezuiwa na Polisi mkoani Iringa
Lema amesema Gen Z hao wanaelekea mkoani Mbeya kwenye mkutano
Lema ametoa taarifa ukurasani X
Ngoja nimtaarifu mzee Mgaya Ili tufiatilie hapo Central kwani Siasa siyo Uadui ๐ผ
Tafuta connection utaionaa.....hayo maelekezo tu......uzuri JK alishasemaaaCCM wanahusika vipi na safari za Chadema?๐ผ
Kizazi Cha 1997 hadi 2012 ndio kinaitwa Gen Z bwashee, usipanic ๐Aache uongo gen Z gani bongo?
Au unamaanisha mchungaji Msigwa? ๐ผTafuta connection utaionaa.....hayo maelekezo tu......uzuri JK alishasemaaa
wakapumzike sasa walikuwa hawana kazi za kufanya, huu ni muda wa maendeleo kwa Taifa na hatuna muda wa maandamano. Ila nawakumbusha tu kwamba kamanda mbowe na lisu walishindwa hiyo kaziMwenyekiti wa Chadema Kanda ya Kaskazini mh Godbless Lema amesema kundi la Vijana wa Chadema wakiwa njiani kuelekea Mbeya wamezuiwa na Polisi mkoani Iringa
Lema amesema Gen Z hao wanaelekea mkoani Mbeya kwenye mkutano
Lema ametoa taarifa ukurasani X
Ngoja nimtaarifu mzee Mgaya Ili tufiatilie hapo Central kwani Siasa siyo Uadui ๐ผ
Inawezekana hao polisi wanataka kuwapa lifti hao vijana ili wapite njia ya mkato kutokea Katavi.Wema wao ni wa kupigiwa mfano.Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Kaskazini mh Godbless Lema amesema kundi la Vijana wa Chadema wakiwa njiani kuelekea Mbeya wamezuiwa na Polisi mkoani Iringa
Lema amesema Gen Z hao wanaelekea mkoani Mbeya kwenye mkutano
Lema ametoa taarifa ukurasani X
Ngoja nimtaarifu mzee Mgaya Ili tufiatilie hapo Central kwani Siasa siyo Uadui ๐ผ