Lemutuz amwaga mamilioni huko instagram

MSAGA SUMU

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2015
Posts
6,661
Reaction score
21,656
Mfanyabiashara mkubwa jijini Dar es Salaam na mmiliki wa vyombo vya habari (blog ya wananchi na live straight talk) ndg Lemutuz anatoa hela kwa shindano alilolianzisha na hivyo wataalam wa mambo kutafsiri kama fursa kwa vijana kutoka kwa tajiri huyoo huko instagram.

katika shindano lake la kwanza Lemutuz au akili kubwa kama anavyoitwa na wasomi nchini alitaka mashabiki wake washindane kutaja majina ya watu aliopiga nao hii picha,huku akitaka pia wataje muda wakati picha hiyo inachukuliwa,bila kusahau tarehe huku akitaka pia wadau waseme kama alkuwa amelewa au laa na kama alkuwa amelewa basi alkuwa amkunywa bia ngapi ambapo hamna mtu aliyeweza kupata hiyo hela na hivyo kuamua kuja na swali lingine hapo baadae
 
masikini mnanyanyasikaaaa shindano gani hlooo.la dharauu
 
Bora wanaopita kimya kimya bila kuandika humu na wale wengine wasioweza kusema wamejaribu kujibu huko ili nao washinde bali kumtukana tu humu wakati kule majina yao sio kama ya JF.

Kesho atasema kazidisha folowazi kama laki lazima amfikie Tiffah Dangote na kumpita.
 
Mfanyabiashara mkubwa harafu anamiliki blogu!! Bogu ipo nchini Tz ambakorobo tatu ya wananchi wake hawana umeme!!
 
Hana biashara yoyote zaidi ya upambe kwa matajiri njaa
 
we mtu huu uandishi wako nimecheka sana daaah ha ha ha ha ha ha ha ha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…