Master Legendary
JF-Expert Member
- Apr 28, 2013
- 576
- 876
Nimemfuatilia hivi karibuni baada ya kutoka India kwenye Operesheni ya Moyo naona anatukanatukana watu tu hovyo wanaochangia Post zake.
Nadhani kuna shida mahali,nasikia aliwekewa mashine kwenye Moyo wake na kuna mtu aliniambia ukiwekewa mashine kwenye Moyo unakuwa na hasira zisizoeleweka, sijui ndicho kinachomkabili au amepata shida kidogo.
Ila kutokana na yeye kuwa na Ugonjwa ambao hautaki mbambamba bali utulivu ni vyema akashauriwa atoke huko Mitandaoni coz hao anaowatukanatukana bila utaratibu siku wakianza kujibizana asije akashindwa kuamka.
Ni kwa nia njema tu coz tunampenda Mzee wa Wabebez wa rangi za mitume, na tunataka aendelee kura Maisha Bandikabandua na kuhang out na visu juu ya Gadem Visu you know!
Azidi kutupa Straight talks na free Education you know, watu tupige kazi tutafute hela Bongo ni tambarare ni kama Mbelezz you know!
Atuambukize American spirit tuargue kwa Facts.
Ni hayo tu narudi zangu Sweken Downtown sipawezi you know,mambo ya Fivestar na Battan Wavuvi Camp ni Gharama sana you know!,tumshauri King of all social media asijiue bila kujua you know!Boma Yee!Yee!Boma Liwanza!Liwanza!
Iam just saying nothing personal you know!It is so simple na sasa hii ni CASE CLOSED you know!NAFWAZ.
Nadhani kuna shida mahali,nasikia aliwekewa mashine kwenye Moyo wake na kuna mtu aliniambia ukiwekewa mashine kwenye Moyo unakuwa na hasira zisizoeleweka, sijui ndicho kinachomkabili au amepata shida kidogo.
Ila kutokana na yeye kuwa na Ugonjwa ambao hautaki mbambamba bali utulivu ni vyema akashauriwa atoke huko Mitandaoni coz hao anaowatukanatukana bila utaratibu siku wakianza kujibizana asije akashindwa kuamka.
Ni kwa nia njema tu coz tunampenda Mzee wa Wabebez wa rangi za mitume, na tunataka aendelee kura Maisha Bandikabandua na kuhang out na visu juu ya Gadem Visu you know!
Azidi kutupa Straight talks na free Education you know, watu tupige kazi tutafute hela Bongo ni tambarare ni kama Mbelezz you know!
Atuambukize American spirit tuargue kwa Facts.
Ni hayo tu narudi zangu Sweken Downtown sipawezi you know,mambo ya Fivestar na Battan Wavuvi Camp ni Gharama sana you know!,tumshauri King of all social media asijiue bila kujua you know!Boma Yee!Yee!Boma Liwanza!Liwanza!
Iam just saying nothing personal you know!It is so simple na sasa hii ni CASE CLOSED you know!NAFWAZ.