PROF NDUMILAKUWILI
JF-Expert Member
- Mar 25, 2016
- 10,518
- 13,144
Inashangaza kuona kazi imefanywa na band ya Wcb ikijumuisha wasanii wote wa Wcb lakini huyu gwiji wa mitandao ya kijamii katoa pongezi kwa msanii mmoja tu inamaana wengine hakuwasikia au kuwaona kwamba nao wameshiriki kwenye hiyo kazi,namna hii unawavunja moyo vijana wengine waliofanya hiyo kazi ushahidi hapo chini[emoji116]
-Ndumilakuwili-
Ohoooo!!!!Unajua kwanini neymar kahama barca? Ujinga kama huu wa le pumbaz
Duh!!!
Hakuna nchi inayoweza mkubali coz ni non productive asset, mzigo huo TZLe mutuz akamatwe awekwe rehani bombadia Ya bwana yule ikombolewe fedha ikipatikana wadai walipwe le mutuz awe huru
Duh!!!LEMUTUZZZZZZ CHEFUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUI NAMPAGA MAKAVU HAPA JUKWAANI WATU WANADHANI NINA BIFU NAE
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hakuna nchi inayoweza mkubali coz ni non productive asset, mzigo huo TZ
Sent using Jamii Forums mobile app
Ohooooo!!!Hao wengine hawezi kuwapongeza ,yaani ni sawa makonda awapongeze mawaziri afu amsahau baba jeska
Sent using Jamii Forums mobile app