MT255 JF-Expert Member Joined May 3, 2012 Posts 3,606 Reaction score 4,914 May 11, 2019 #101 Kavalisha kavalishwa?
Ibilisi JF-Expert Member Joined Jul 12, 2017 Posts 3,465 Reaction score 5,578 May 12, 2019 #102 nkuwi said: Le mutuz ni kaka wa taifa au ni babu wa taifa?? Click to expand... Le mutuz ni kibamia wa taifa
nkuwi said: Le mutuz ni kaka wa taifa au ni babu wa taifa?? Click to expand... Le mutuz ni kibamia wa taifa
Ibilisi JF-Expert Member Joined Jul 12, 2017 Posts 3,465 Reaction score 5,578 May 12, 2019 #103 sodoliki said: Libaba la miaka 65 , linataka kuoa msichana na kibamia chake na sasa linaumwa moyo, marehemu mtarajiwa Click to expand... Mhhh hapo mwisho mkuu umezingua, sote ni marehemu watarajiwa. Fikiria wenye ugonjwa wa moyo wakisoma post yako wanajisikiaje?
sodoliki said: Libaba la miaka 65 , linataka kuoa msichana na kibamia chake na sasa linaumwa moyo, marehemu mtarajiwa Click to expand... Mhhh hapo mwisho mkuu umezingua, sote ni marehemu watarajiwa. Fikiria wenye ugonjwa wa moyo wakisoma post yako wanajisikiaje?
kibol JF-Expert Member Joined Apr 24, 2012 Posts 4,521 Reaction score 2,747 May 12, 2019 #104 Miss Natafuta said: Ngoja nifate hyo kanuni maskini hana utu Click to expand... Masikini haaminiki, ndio maana Mungu hawezi kuweka agano na masikini kwasababu anaweza kubadilika muda wowote, hivyo Mungu anapotaka kuweka agano na wewe ni lazima aku establish kwanza.... Apostle Maboya.
Miss Natafuta said: Ngoja nifate hyo kanuni maskini hana utu Click to expand... Masikini haaminiki, ndio maana Mungu hawezi kuweka agano na masikini kwasababu anaweza kubadilika muda wowote, hivyo Mungu anapotaka kuweka agano na wewe ni lazima aku establish kwanza.... Apostle Maboya.