Lengo la CCM ni kuifuta CHADEMA. Jeshi la Polisi limeshindwa sasa wanatumia vyombo vingine wasijekosa misaada toka kwa mabeberu kwa kuua demokrasia

Ripoti ya polisi maelezo meengi. Mutu Muongo utamjua tu anaamini maneno mengi ndio ukweli🤣🤣
 
US, EU ,UK hawawezi kufanyia kazi ripoti za kuunga unga mezani kwa Muroto.
 
Bajeti ya kilimo imetekelezwa 17.55% pekee sababu wslijisahau kumshughulikia na Chadema
 
Tatizo hampendi kuambiwa ukweli
Mlisha muona Mbowe ni mungu mtu
Vibendera wote kumkosoa mbowe Ni No
Mpo mpo tu
Uwezo wakujiongoza Umewashinda nchi mtaiweza
Tume huru ipi
Anzeni kutoa uhuru ndani ya Saccos yenu kwanza
Misukule ya ccm
 
Wakitaka kuifuta chadema, waje mitaani watuue wananchi. Kununua wabunge na kutoa maneno ya kejeli bungeni hakuwezi kuleta impact yoyote labda kwa vilazaa wa MATAGA
 
Bajeti ya kilimo imetekelezwa 17.55% pekee sababu wslijisahau kumshughulikia na Chadema
Pesa Kodi yetu iliyotumika kupambana na chadema for 5 yrs ingetosha kabisa kujenga daraja pana la kisasa mto wapi kureplace lile la mkoloni kuokoa ndugu wenzetu kutumbukia
 
Chadema inakufa kwa ujinga wa viongozi wa juu
Nani atakaa kwenye chama ambacho viongozi wake wanaropoka matusi tu km mdee na lissu
Chadema haifi ingekuwa inakufa yenyewe nyinyi CCM mngeacha ijifie tu bila kelele, CCM kutwa kuwabambikia kesi kuwapiga risasi na sasa mnatumia Takukuru kuidhoofisha chadema wakati Ndungai kapiga bilion 12 peke yake hamjatuma Takukuru kwenda kumhoji, Kange lugola kapiga advance ya vifaa vya zimamoto yupo anadunda
 
Wasiotii sheria ndio lazima wakumbane na vyombo vya usalama
Ndungai kapiga bilion 12 ndiyo kuitii vyombo vya Sheria, Kange lugola kapiga pesa za zima moto ndiyo kutii Sheria? Zipo wapi trilion 1.5 ? Mlimtoa kafara CAG ili awapishe mpate kuchota pesa kienyeji huko BOT
 
https://www.facebook.com/
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…