T ThatMan Senior Member Joined Jul 4, 2019 Posts 119 Reaction score 178 Jul 30, 2019 Thread starter #41 Ulimakafu said: Karibu sana JF mjukuu wetu hapa kwa GT ufaido. Click to expand... Nimekaribia mkuu
T ThatMan Senior Member Joined Jul 4, 2019 Posts 119 Reaction score 178 Jul 30, 2019 Thread starter #42 Ulimakafu said: Kapicha kidogo basi. Click to expand... Picha ndio hyo inanisikitisha, leo nilitaka kupelekwa kituoni kisa picha nikaoneka kibaka
Ulimakafu said: Kapicha kidogo basi. Click to expand... Picha ndio hyo inanisikitisha, leo nilitaka kupelekwa kituoni kisa picha nikaoneka kibaka
T ThatMan Senior Member Joined Jul 4, 2019 Posts 119 Reaction score 178 Jul 30, 2019 Thread starter #43 Donnie Charlie said: MKUU WA MKOA ATAKURUDISHA KIJIJINI Click to expand... Unamaanisha nn, kwa maana sisi wa mikoani haturuhusiwi kuja daslam, au sababu Sina pasi , mbona mkuu wa mkoa anaonekana mwema hawezi turudisha
Donnie Charlie said: MKUU WA MKOA ATAKURUDISHA KIJIJINI Click to expand... Unamaanisha nn, kwa maana sisi wa mikoani haturuhusiwi kuja daslam, au sababu Sina pasi , mbona mkuu wa mkoa anaonekana mwema hawezi turudisha