kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 18,833
- 23,276
Jana alipatwa na kizunguzungu cha ghafla wakati mwamnyeto anatoa assist ya header!Thithi yanga malengo yetu yemetimia nguvu tunahamishia kwenye ligiView attachment 2831970
Haya tupe ulichovuna!upuuuzi wa kuanza kushabikia mpira miaka ya hivi karibuni kwamba simba ni kurwa kwa yanga pumbavu
Ukifatilia historia Kurwa ni Yanga na Doto ni Simba maana Yanga ndio iliyoanza kuanzishwa. Lakini hata Yanga malengo yalibadilika baada ya kuingia group stageKurwa kachanganyikiwa doto ndio hajui hata pa kutokea wachambuzi wa mchongo wanawapa matumaini masupu fc A.K.A misuli ammi rojo kuwa watapindua meza urongo ndio kwishnei hesabu zinakataa hamfungi mwarabu hata mmoja sana atapata point 3 za wale waghana akichanya na 1 ni 4 ndio keshaaga mashindano lengo limetimia,mafsa habari badala ya kujikita kwenye weledi wapo kuwatia moyo mashabiki,
Pindi manara alikuwa anaipa kila mechi slogan yake alikuwa na timu ya kweli .
Si hii hya mambo ya kamwe na privaldinho hujachungulia mechi maneno kibao mganga wa unguja kajitahidi kapata sare msimuwache!
Msiwache kuvaa misuli!
Yanga amecheza mechi nane kwenye hatua ya group stage ya Caf champions league tokea 1998 hajawahi kushinda hata mechi moja kafungwa 5 katoka sare 3 so yanga are winless in their 8 Caf champions league games 5 defeats and 3 draw.Kurwa kachanganyikiwa, Doto ndio hajui hata pa kutokea. Wachambuzi wa mchongo wanawapa matumaini Masupu FC A.K.A misuli ammi rojo kuwa watapindua meza.
Huu ni uongo, ndio kwishnei. Hesabu zinakataa, hamfungi mwarabu hata mmoja sana atapata point 3 za wale waghana akichanya na 1 ni 4 ndio keshaaga mashindano. Lengo limetimia, maafisa habari badala ya kujikita kwenye weledi wapo kuwatia moyo mashabiki.
Pindi Manara alikuwa anaipa kila mechi slogan yake alikuwa na timu ya kweli.
Si hii ya mambo ya Kamwe na Privaldinho hujachungulia mechi maneno kibao mganga wa unguja kajitahidi kapata sare msimuwache!
Msiwache kuvaa misuli!
Injinia wa mchongo😂😂Thithi yanga malengo yetu yemetimia nguvu tunahamishia kwenye ligiView attachment 2831970
NIshakuwachia waarabu mnao hao yanga kamaliza jana simba kazi anayo tarehe 9 dec siku ya sikukuu!Umeandika ujinga tu hapa. Bora ukaendelea tu na kazi yako ya kuwalamba miguu mabosi wako hapo Lumumba kwa ujira wa buku 7 kwa siku.
Huku kwenye michezo, hakukufai.