Lengo la third interview kwenye international NGO

H
Yeah, sometimes huwa wanachelewa, especially when the key decision maker ni mtu ana mambo mengi like director unajua wanakua na a lot on their table, sio tu majibu ya interview yako. So, ni vyema kuwa na uvumilivu kidogo, usually within 2-3 weeks watakupa response (whether positive or negative, mara nyingi candidates waliofikia hadi last stage huwa wanapewa feedback wote).
Ila pia, RUKUKU BOY kama ukiona wamekaa kimya muda zaidi ya wiki 3, you can send them a reminder e mail kuulizia progress, unaweza kuta wamepitiwa, but usikumbushie kama hazijazidi wiki 3.
 
Inategemea na mwajiri ila mara nyingi 3rd interview huwa ni informal sana sio interview nzito kihivyo hapo mara nyingi utakutana na management meaning head of department utakayofanyia kazi, head of organisation japo sio lazima inategemea na posirion if ni managerial, na top top wa HR hapo kinachotafutwa ni mtu atakayefit kwao based on their culture, budget, na position yenyewe na hapo kitu kidogo sana na ambacho hata hutokijua chaweza kukukosesha kazi maana kumbuka hapo huenda mkawa mmebakia candidate wawili strong ambapo yeyote anaweza pata kazi. Al in al hapo mtegemee Mungu zaidi.
 
Amina
 
Hiyo interview usishange ukaitwa then unapiga breakfast, au lunch na interviewers huku mazungumzo yakiwa ya kawaida sana tu🀣
Niliwahi piga interview 3rd round ambapo nilikuwa na naibu balozi, head of HR, head of department niliyokuwa naenda ifanyia kazi ilikuwa ni mojawapo ya balozi za scandanavia kazi nilipata ili nilipiga chini coz of salary. Interview ilikuwa kawaida sanaaaa!
Naibu balozi alitaka tu kujua challenge ninazoanticipate kwenye hiyo kazi, akataka kujua mshahara ninaoutaka.
 
Mkuu interview
Mkuu interview nilishapiga mie ilikuwa pia technical hapa nasubiri majibu siku zinaenda naona kimya
 
Unaweza Kuta siku isiyo na jina unaitwa coz kama una kazi we endelea kupambana uku ukisikilizia
 
Kuna jamaa yangu alipata ujumbe wa kwenda taasisi flan baada ya kufika alijua ni maongezi ya kawaida anashangaa wanaingizwa chumba na pepa linaanza alafu yeye ndo black peke ake ,
Mchujo wa kwanza kapita, wa pili kapita juzi tena ndo ameenda kupiga wa tatu .
Hizi kazi ni nzuri sana na Zina malipo mazuri ila unaitaji kufikilia mbali zaidi.
 
Duu unanitia moyo thanks mkuu, mie nadhani nkamaliza ya tatu Kuna ya nne, salary hatujabagain, afu interview ilikuwa nifanye Jana kwakua hakuna internet wakaalisha hadi next week nimechukia kwakweli
Salary hata ubagain huwezi pata mshahara nje ya Upper Margin yao.
Salary huwa ina limit hawawezi kuongeza kwa sababu wewe umetaka au umesema.

Muhimu upate ajira hao watu mishahara yao sio pesa za madafu
 
Third interview nahisi ni maboss unaoenda kufanya nao kazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…