Hawa ndio wanaokwenda kanisani kutafuta wanawake wakipata na ulokole unaishia hapo hapo (Nina ushahidi wa kutosha)
Kuna ndugu yangu mmoja aliacha kabisa mambo ya disco, lager nk akaanza kwenda kanisani kumbe kuna jamaa anamtaka akaenda kanisani kaingia na gia ya kuimba kwaya bana aaahhh akawa mlokole kweli bana kumbe anashida na yule ndugu yangu alipompata akamtia na mimba kwisha habari yake kumbe jamaa ana grocery ana pata lager kama kawa, ndugu yangu alipofikishwa home kachanganyikiwa nae church tena ndo ikawa mwisho