Computer4Sale Lenovo ideapad 110

IoT

JF-Expert Member
Joined
Apr 21, 2014
Posts
1,057
Reaction score
1,402
Used laptop inauzwa, imetumika miezi michache na ina tatizo kwenye kioo. Kioo kilipata hitilafu, kitu cha ncha kali kiligonga. Napatikana Dar, mawasiliano WhatsApp
 

Attachments

  • Screenshot_20180702-181242.jpg
    25.2 KB · Views: 36
  • 20180611_093417.jpg
    40.1 KB · Views: 42
  • 20180611_093318.jpg
    51.1 KB · Views: 37
  • 20180611_093227-scale-1.jpg
    45.5 KB · Views: 37
  • 20180611_093254-scale-2.jpg
    5.1 KB · Views: 38
  • 20180611_093340-scale-2.jpg
    19.3 KB · Views: 36
Kwa hyo bei na hzo specs na hiyo hali ya pc yako mjinga tu ndo atanunua
 
Kioo 120K + 300K =420K...punguza bei kidogo mzee
 
Kwa hyo bei na hzo specs na hiyo hali ya pc yako mjinga tu ndo atanunua
Lakini maongezi yapo kiongozi au hukuona hapo? Halafu sio wote ni heavy users.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…