Kwani ana nini la ziada?Hofu yangu bado ipo mpaka nikoona saa sita imefika
Swala la fei kwenda simba limentesa sanaa ngoja tuone
Time will tellHofu yangu bado ipo mpaka nikoona saa sita imefika
Suala la Feisal kwenda Simba limentesa sanaa ngoja tuone
Soma Pia: Simba yamtaka Fei Toto. wamepeleka ombi la mazungumzo Azam FC.
Ngojea tuone ,Manula naona anakomlewa,ila humu kuna watu walituambia mchezaji kama hana raha aachwe aende hasikomolewe cha ajabu wao wanamng'ang'ania na wanamkomoa japo hayupo kwenye mipango yao.Hofu yangu bado ipo mpaka nikoona saa sita imefika
Suala la Feisal kwenda Simba limentesa sanaa ngoja tuone
Soma Pia: Simba yamtaka Fei Toto. wamepeleka ombi la mazungumzo Azam FC.
Yaani unaacha kutafuta abiria, unateswa na habari kwamba Feisal anaenda Simba?Suala la Feisal kwenda Simba limentesa sanaa ngoja tuone