Wakusoma 12
JF-Expert Member
- Jul 3, 2017
- 4,035
- 11,462
Hii wachumi tunaomba mtupe shule kidogo, zipi athari zake kiuchumi kwa maisha ya mtanzania? Ukosefu wa ajira na matatizo ya kiuchumi vijana tutachomoka?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna mtu yuko hapo hajui nn la kufanya japo anajionyesha ni mzalendoHii wachumi tunaomba mtupe shule kidogo, zipi adhari zake kiuchumi kwa maisha ya mtanzania? Ukosefu wa ajira na matatizo ya kiuchumi vijana tutachomoka?
mavi mavi.... tunaexport mavuzi tunaimport mpaka sukari....Shilllingi inazidi kuimarika chini ya Waziri msomi wa fedha na mama wa shoka Dr SSH.
Achana na hio bei, nenda bureau de change kama 5 hv upate quote kisha piga avg, af nenda kwa wazee wa dark market kkoo ndan ndan wakupe rate ndo utajua haujuiHii wachumi tunaomba mtupe shule kidogo, zipi adhari zake kiuchumi kwa maisha ya mtanzania? Ukosefu wa ajira na matatizo ya kiuchumi vijana tutachomoka?
Afu kuna mtu utasikia kabka ya kuilamu serikali jieleze umeisaidia vip yani watu wazima wamekaa kwenye uongoz wanachukua pesa wanachoma nyama wanakimbiza mwenge wanapa funfu vyombo vya habari kuvipa airtime ujinga wao then eti niseme mefanyia nn taifa langu km viongozi tu wanafanya matumiz uncessaryNimeshuhudia leo msafara wa Mwenge nikasema haya mamilion wanamwaga hapa dah 🤔gari kama zote nikawa najiambia per diem ya hapa mafuta, vyakula 200M naa
Dola haijawahi kufika 2800Ilikuwa 2800 basi imeshuka kidogo
Bro jana ilikuwa 2,735Hii wachumi tunaomba mtupe shule kidogo, zipi adhari zake kiuchumi kwa maisha ya mtanzania? Ukosefu wa ajira na matatizo ya kiuchumi vijana tutachomoka?
Lini dola imewahi kuvuka 2700?Mbona shilingi inaimarika. Ilikuwa zaidi ya hiyi