FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,789
- 5,401
Semeni tu kama kuna mtu kapewa talaka tutasuruhisha
Kama kuna mtu bado anashindwa kutongoza tutamfundisha
kama kuna mtu anatafuta mchumba wapo wamejaa tele
Kama ndoa zina migongano wapo wataalam
Kama mmefulia tutatafuta namna mbadala ya kusaidia....
Kama bar zote zimefungwa sababu ya Easter ....hapa no msaada
Matatizo yote semeni yatapata ufumbuzi ni saa sita kasorobo nasikia usingizi
Kama kuna mtu bado anashindwa kutongoza tutamfundisha
kama kuna mtu anatafuta mchumba wapo wamejaa tele
Kama ndoa zina migongano wapo wataalam
Kama mmefulia tutatafuta namna mbadala ya kusaidia....
Kama bar zote zimefungwa sababu ya Easter ....hapa no msaada
Matatizo yote semeni yatapata ufumbuzi ni saa sita kasorobo nasikia usingizi