FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,789
- 5,401
i see!Semeni tu kama kuna mtu kapewa talaka tutasuruhisha
Kama kuna mtu bado anashindwa kutongoza tutamfundisha
kama kuna mtu anatafuta mchumba tupo tumejaa tele
Kama ndoa zina migongano wapo wataalam
Kama mmefulia tutatafuta namna mbadala ya kusaidia....
Kama bar zote zimefungwa sababu ya Eater ....hapa no msaada
Matatizo yote semeni yatapata ufumbuzi ni saa sita kasorobo nasikia usingizi
Shem langu, muda huu usingizi tena?...Usinambie nanihino karudi tayari!Semeni tu kama kuna mtu kapewa talaka tutasuruhisha
Kama kuna mtu bado anashindwa kutongoza tutamfundisha
kama kuna mtu anatafuta mchumba wapo wamejaa tele
Kama ndoa zina migongano wapo wataalam
Kama mmefulia tutatafuta namna mbadala ya kusaidia....
Kama bar zote zimefungwa sababu ya Eater ....hapa no msaada
Matatizo yote semeni yatapata ufumbuzi ni saa sita kasorobo nasikia usingizi
i see!
uko sahihi!Binamu kwani natania jamani?
Shem langu, muda huu usingizi tena?...Usinambie nanihino karudi tayari!
hahaaaa wewe matironi huoni weweeee
hali ya hewa ni ya mawingu mawingu saaaana
Ha hahha haa,FL unajua kuchokoza watu
Haya mimi hapo pa kutafuta mchumba ndo umegusa penyewe
Hapo tu ndipo uliponiudhi! Hapo tu.Semeni tu kama kuna mtu kapewa talaka tutasuruhisha
Kama kuna mtu bado anashindwa kutongoza tutamfundisha
kama kuna mtu anatafuta mchumba wapo wamejaa tele
Kama ndoa zina migongano wapo wataalam
Kama mmefulia tutatafuta namna mbadala ya kusaidia....
Kama bar zote zimefungwa sababu ya Eater ....hapa no msaada
Matatizo yote semeni yatapata ufumbuzi ni saa sita kasorobo nasikia usingizi
uko sahihi!
BTW:nimemiss sana ile siku.......
Ben kumbe uko single ..?.mbona point zako kama ushajitwalia mwana long ago ngoja!
natamani itokee tena binamu .....thamaki
Semeni tu kama kuna mtu kapewa talaka tutasuruhisha
Kama kuna mtu bado anashindwa kutongoza tutamfundisha
kama kuna mtu anatafuta mchumba wapo wamejaa tele
Kama ndoa zina migongano wapo wataalam
Kama mmefulia tutatafuta namna mbadala ya kusaidia....
Kama bar zote zimefungwa sababu ya Eater ....hapa no msaada
Matatizo yote semeni yatapata ufumbuzi ni saa sita kasorobo nasikia usingizi
semeni tu kama kuna mtu kapewa talaka tutasuruhisha
kama kuna mtu bado anashindwa kutongoza tutamfundisha
kama kuna mtu anatafuta mchumba wapo wamejaa tele
kama ndoa zina migongano wapo wataalam
kama mmefulia tutatafuta namna mbadala ya kusaidia....
kama bar zote zimefungwa sababu ya eater ....hapa no msaada
matatizo yote semeni yatapata ufumbuzi ni saa sita kasorobo nasikia usingizi