Sharobaro la jf
JF-Expert Member
- Apr 23, 2020
- 237
- 325
kabisa mkuu yaani kajua kucheza na akili zaoHapa kafanya poa nazani atapunguza chuki za team Diamond wanaomtukana Sana kwenye mtandao wake wa Instagram.Diamond ana mashabiki wengi Sana so kaona apunguze kero za team Diamond na hii amecheza Kama pele.
unataka sema mashabiki ndo walisababisha aimbe wcb wanamroga japo haimstui, inauma ila inabidi wazoee... kibinadam inauma sana kumsuport mtu afike pale kisha aanze kukutungia nyimbo za vichambo then leo ana act kinafiki eti hana tatizo naoToka nianze kumsikiliza harmonize kwenye interviews zake hajawah mwongelea vibaya diamond na WCB kiujumla
Kabla ya kuandika jitahidi kuchunguza ni nan msababishi wa haya yote?
Jibu jepesi ni mashabiki tu ndo wanapenda kuwe na chuki baina yao na sio wao
Harmonize, video za wife,malaika na fall in love ziko wako wapi??? I cant get enough of these songs...
Ha ha haAache unaija"I go die" ndio nini?Aache kuwa kifua wazi kila video.
ungesoma vizuri nilichoandika ucngejihangaisha kunijibu...unataka sema mashabiki ndo walisababisha aimbe wcb wanamroga japo haimstui, inauma ila inabidi wazoee... kibinadam inauma sana kumsuport mtu afike pale kisha aanze kukutungia nyimbo za vichambo then leo ana act kinafiki eti hana tatizo nao
yeye apambane na hali yake tu maana hata walomjaza upepo nadhani kashaanza kuwachukia
eheee sasa wewe ndio umesemaBifu la Diamond na Harmonize lilianzishwa kimkakati ili kumfuta kabisa Ali Kiba kwenye ramani ya dunia
Aiyola aliimba harmonize peke akeDaimondi vs gang hawawezi kuimba tena wimbo mzuri kama aiyola
Ni mtazamo tuBifu la Diamond na Harmonize lilianzishwa kimkakati ili kumfuta kabisa Ali Kiba kwenye ramani ya dunia
Hii ina ukweli ..... naona dodo limeoza ..... huku kwaru kule one night standBifu la Diamond na Harmonize lilianzishwa kimkakati ili kumfuta kabisa Ali Kiba kwenye ramani ya dunia
Hamna kitu pale anataka aonekane mwema kumbe mnafiki tuWakuu atimae Harmonize leo ameamua kumaliza bifu lake na EATV, amepiga stori mbili tatu na Tbway katika kipindi cha Friday Night pia amemtambulisha msanii wake ibrah ambae alikuwa akitambulisha EP yake ya steps.
Kilichonifuraisha ni kusikia Harmonize akiisifu WCB. Pia amesema hana ugomvi nao na anamkubali Diamond kwa asilimia 100
Kumbe ndo wewe Sara wa konde boyHarmonize, video za wife,malaika na fall in love ziko wako wapi??? I cant get enough of these songs...
mkuu mimi ni mmatumbi sio mzungu bwanaKumbe ndo wewe Sara wa konde boy
Hongera