Leo hii Ukimuuliza mke/mchumba/Mchepuko kwamba anataka biashara ipi atataja hizi

Leo hii Ukimuuliza mke/mchumba/Mchepuko kwamba anataka biashara ipi atataja hizi

CHASHA FARMING

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2011
Posts
7,872
Reaction score
9,263
Wanawake asilimia kubwa sana biashara zao kwanza ni za kuiga kwa 99%
Na biashara zao zinaangukia hapa
- Min super market-wanapenda sana hivi viduka
- Saloon ya Kike- Hapa kuna kundi kubwa sana tofauti na wanaume wanao taka salooni za kiume.
- Duka la vipodozi
-Duka la nguo na urembo

Ni vigumu sana mwanamke kutaja biashara nje ya hapo

Sasa basi ukiwa na mke wako/Mchumba na kataja biashara hizi zingine inabidi umuheshimu sana.

- Kataja Kilimo- Ni wachache sana wanataka kulima na ukiona anakuambia anataka kulima basi mheshimu sana make ni wa kipekee na ana upekee wake

- Kufuga Kuku- Hapa kiasi fulani wapo wapo wana taja hizi vitu.

- Kufuga Nguruwe- Hapa tena inabidi umvulie kofia.

- Anataka Hardware- Hapa tena mvulie kofia make wanawake hawapendi kabisa biashara za kuchafuka.

Wamama hizo ndo huwa biashara zao wanazo penda na wengi hufunguliwa kweli na nyingi hufa within a time.

Na Mke wako anakomaa anataka kilimo basi mheshimu sana make ni wa kipekeee kabisa.Hii ni kwa wanawake wa town.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kweli asee Jana kuna bar moja nilikuwa naangalia mpira nikamwona muhudumu kwa mbali kakaa mwenyewe nikasogea kumpa kampan manake ni mzuri niliona kazi anayofanya haimfai maongezi yakaendelea ndo tukafikia plan za maisha make alinambia hiyo kazi anayofanya anatafta tu riziki maana alikuwa mwanachuo akafukuzwa wazazi wakakataa kumsomesha ila anatamani awe na soloon, duka la vipodozi na urembo au nguo maana ndo mambo anayoyaweza kwa hiyo Niko katika harakati za kumsaidia

blame no body
 
Mkuu hii misaada y
Kweli asee Jana kuna bar moja nilikuwa naangalia mpira nikamwona muhudumu kwa mbali kakaa mwenyewe nikasogea kumpa kampan manake ni mzuri niliona kazi anayofanya haimfai maongezi yakaendelea ndo tukafikia plan za maisha make alinambia hiyo kazi anayofanya anatafta tu riziki maana alikuwa mwanachuo akafukuzwa wazazi wakakataa kumsomesha ila anatamani awe na soloon, duka la vipodozi na urembo au nguo maana ndo mambo anayoyaweza kwa hiyo Niko katika harakati za kumsaidia

blame no body

Mkuu hii misaada unaitoa kwa yeyote mwenye shida?
 
Kweli asee Jana kuna bar moja nilikuwa naangalia mpira nikamwona muhudumu kwa mbali kakaa mwenyewe nikasogea kumpa kampan manake ni mzuri niliona kazi anayofanya haimfai maongezi yakaendelea ndo tukafikia plan za maisha make alinambia hiyo kazi anayofanya anatafta tu riziki maana alikuwa mwanachuo akafukuzwa wazazi wakakataa kumsomesha ila anatamani awe na soloon, duka la vipodozi na urembo au nguo maana ndo mambo anayoyaweza kwa hiyo Niko katika harakati za kumsaidia

blame no body
Umedanganywa kirahisi sana
 
One source of business ideas....ni PERSONAL INTERESTS
Hawawezi kuwaza nje ya box.......ni vitu wanavyovipenda na wanaadmire kumiliki hivyo. Kawaida tu dont abuse them.


Sukari Yenu
Shukrani sana sukari yetu

invest what you are willing to lose
 
Kweli asee Jana kuna bar moja nilikuwa naangalia mpira nikamwona muhudumu kwa mbali kakaa mwenyewe nikasogea kumpa kampan manake ni mzuri niliona kazi anayofanya haimfai maongezi yakaendelea ndo tukafikia plan za maisha make alinambia hiyo kazi anayofanya anatafta tu riziki maana alikuwa mwanachuo akafukuzwa wazazi wakakataa kumsomesha ila anatamani awe na soloon, duka la vipodozi na urembo au nguo maana ndo mambo anayoyaweza kwa hiyo Niko katika harakati za kumsaidia

blame no body
Ni maeneo gan na mim Leo nataka nikacheki EPL huku nakupa feedback!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
One source of business ideas....ni PERSONAL INTERESTS
Hawawezi kuwaza nje ya box.......ni vitu wanavyovipenda na wanaadmire kumiliki hivyo. Kawaida tu dont abuse them.


Sukari Yenu
....Si kweli,mtoa mada is right majority wanaiga tuu. Mtu hajawahi hata kuuza karanga anakwambia nifungulie mini supermarket, unamfungulia unaijaza but after 6 months mkifanya stock check mtaji umeshuka. Mimi mrembo wangu nakumbuka aliniambia niongezee mtaji nifungue duka/grocery...dah nikamwambia why not duka la nguo duka mbona faida ndogo? Akaniambia nimewahi uza duka la mjomba so nina uzoefu nalo. Nikampa mtaji kwa shingo upande, aisee baada ya mwaka alikuwa mbali sanaa, na akaweza kufungua other businesses...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nahisi sio tatizo sana ,ili mradi capital IPO na unahisi biashara iyo italipa zaidi Basi nisawa .....

Anaweza kukushauri kilimo alafu akawa mvivu wa usimamizi.
 
....Si kweli,mtoa mada is right majority wanaiga tuu. Mtu hajawahi hata kuuza karanga anakwambia nifungulie mini supermarket, unamfungulia unaijaza but after 6 months mkifanya stock check mtaji umeshuka. Mimi mrembo wangu nakumbuka aliniambia niongezee mtaji nifungue duka/grocery...dah nikamwambia why not duka la nguo duka mbona faida ndogo? Akaniambia nimewahi uza duka la mjomba so nina uzoefu nalo. Nikampa mtaji kwa shingo upande, aisee baada ya mwaka alikuwa mbali sanaa, na akaweza kufungua other businesses...

Sent using Jamii Forums mobile app
Narudia pale pale....one source of business ideas ni personal interests.....no matter biashara itakuwa au itafail. Kwanza uelewe hilo. Sijazungumzia success ya business au faida ipatikanayo. Sasa nikuulize wewe....kwanini ulitaka auze duka la nguo? Wewe ndiye uliyekuwa unaiga.

Another source ni experience.....ndicho alichofanya huyo mamsapu wako.

Sukari Yenu
 
Kweli asee Jana kuna bar moja nilikuwa naangalia mpira nikamwona muhudumu kwa mbali kakaa mwenyewe nikasogea kumpa kampan manake ni mzuri niliona kazi anayofanya haimfai maongezi yakaendelea ndo tukafikia plan za maisha make alinambia hiyo kazi anayofanya anatafta tu riziki maana alikuwa mwanachuo akafukuzwa wazazi wakakataa kumsomesha ila anatamani awe na soloon, duka la vipodozi na urembo au nguo maana ndo mambo anayoyaweza kwa hiyo Niko katika harakati za kumsaidia

blame no body
Mkuu mbona umeruka sehemu, hujatuambia kua alikupa papuchi ya Bure kwanza halafu ukamdhamini.
 
Back
Top Bottom