Leo hii Wema Sepetu wa kumuita Makonda "Le Brother"?

Hahahaaaaa mpaka huu mwaka uishe tutaona na kusikia mengi
 
She's insignificant. Hana talent wala umuhimu wo wote katika jamii. She lives off of the media and drama. Mkimuongelea she'll feel even more important.
 
Sizitak mbichi hizi aliyetunga ile hadithi alikua na akili sana!!!!!
 
Mjini kugumu udangaji haulipi bora arudi huko ashirikiane kwenye uzalendo atapata japo kidogo
 
Mkuu umeipata WAP hii picha hahaha[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] aisee
 
Dah....KUBU naye anamfuata bebi wake soon.....[emoji87] [emoji13] [emoji41]
 
Safi sana Wema umefanya la maana chuki humuumiza anaye zitunza...
Vijana wakipatana ni furaha,,,,,
Kama mlitaka wachukiene milele basi leo vichwa vitawauma...
Kama namuona Kamanda Lema alivyo na hasira
 
Siku zote hata kwenye vitabu vitakatifu mwanamke alitumika kuwaangamiza majabali yenyenguvu Delilah, esta, judith, grace Mugabe, ngoswe penzi kitovu cha uzembe dunia nzima mashushushu wanawake mission zao zinafanikiwaga etc msimlaumu wema
 
Nakumbuka ile clip akiwa sentro alimuita DAB kwa jina matakotako. Sijaelewa alikuwa na maana gani.
Ndege wafananao huruka pamoja. Akili zao zimefanana pia na matendo yao. Akili zihama kichwani zikakimbilia huko matakotako. Akili zimetoka north to south matokeo yake ni haya 'Hawajitambui ni upoyoyo'
 
uelekeo ulipo...unafuataa anasahau kila kitu...zaid ya maigizo!!!!tupo part ngap hv sahv ya sinema‍♂️‍♂️
 
Diamond aliona mbali sana kuachana na huyu Delila!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…