Rwetembula Hassan Jumah
Senior Member
- Jan 25, 2023
- 140
- 188
Dini ikitawaliwa na siasa ndo basi tena .. Eid imesetiwa na Kalenda kuwa ni jumamosi (Kalenda Ya 2023) ila kalenda ya kiislam (1 tarehe moja mwezi wa 10 ndo Eid ) sasa Waislamu wa Tanzania sijui wanafuata ukristo au ni gani sielewi.
Tangia Yesu aondoke Duniani... ni miaka 2023 mpaka sasa na waislamu wanatumia kalenda ya kikristo wakidai wao ni waislamu.. inafikirisha sana.
Ndo maana nishawai kusema kuwa mwanzilishi wa dini hizi kuwa na majina ni wakristo maana utaratibu bado tunatumia ule ule....
Tangia Yesu aondoke Duniani... ni miaka 2023 mpaka sasa na waislamu wanatumia kalenda ya kikristo wakidai wao ni waislamu.. inafikirisha sana.
Ndo maana nishawai kusema kuwa mwanzilishi wa dini hizi kuwa na majina ni wakristo maana utaratibu bado tunatumia ule ule....