donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,128
- 21,885
Tunamshkuru Mungu tangu jana na Leo tunapata mvua. Tulikua na mashaka na mazao tuliyopanda kama tutapata mvua. Mungu atujaalie iendelee kunyesha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante. MkuuHongereni...
Yaan mvua za huku hazina formula, unaweza ukapanda mahindi mvua ikagoma aisee labda uwe una mwagilia[emoji2]Jiji langu dodoma kuna mwaka mvua zilianza karibu na mwezi wa pili
Hili eneo umepiga picha ni wapi!?Tunamshkuru Mungu tangu jana na Leo tunapata mvua. Tulikua na mashaka na mazao tuliyopanda kama tutapata mvua. Mungu atujaalie iendelee kunyeshaView attachment 2859888
Je Njugu na karanga ? Niliona zinawezana na hizo mvuaYaan mvua za huku hazina formula, unaweza ukapanda mahindi mvua ikagoma aisee labda uwe una mwagilia
Hapa ni chamwino Ikulu mkuu mitaa ya kwa manecke. Ni juzi tu jamaa yangu aliotea kwa 1.5M ameanza ujenzi. Ila vipo mkuu wewe tuHili eneo umepiga picha ni wapi!?
Kiwanja bei gani mitaa hiyo. Nataka nijenge Dom
Muhimu mkuu, mimi nimeshakua mgogo aisee Dar naenda kumsalimia Baba tuSafi mvua Dom our next home.....lazima kujenga Dom
Yes hizo zinakubali mkuu, karanga za kucheba na njugu maweJe Njugu na karanga ? Niliona zinawezana na hizo mvua
Ok asante sana mkuu. Umesema Milioni moja na laki tano 1.5!Hapa ni chamwino Ikulu mkuu mitaa ya kwa manecke. Ni juzi tu jamaa yangu aliotea kwa 1.5M ameanza ujenzi. Ila vipo mkuu wewe tu
Dom udongo mzuri kwa kilimo shida ni mvuaYaan mvua za huku hazina formula, unaweza ukapanda mahindi mvua ikagoma aisee labda uwe una mwagilia
Miaka minne iliyopita hadi laki mbili unachukua heka. Ila baada ya serikali na ikulu kuhamia huku wagogo wamekua wajanjaOk asante sana mkuu. Umesema Milioni moja na laki tano 1.5!
Kumbe bei sio mbaya sana.
Kabisa mkuu. Ni region pekee ambayo haina msimu maalum wa mvuaDom udongo mzuri kwa kilimo shida ni mvua
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Dar pia tumepata mvua kidogo leo imetupunguzia joto at least Leo tunapumuwa unaweza hata kuomba unyumba.
Kuna jipya gani tena huko jangwani?Hili eneo umepiga picha ni wapi!?
Kiwanja bei gani mitaa hiyo. Nataka nijenge Dom
Sasa hapo kwenye kumwagilia. DUWASA hawana maji ya kutosha. Kuna sehemu za Jiji huu ni mwezi mzima hawajaona hata tone la maji.Yaan mvua za huku hazina formula, unaweza ukapanda mahindi mvua ikagoma aisee labda uwe una mwagilia