Leo Jumatano upo kiwanja gani baada ya saa za kazi?

[emoji1306][emoji1756][emoji1756][emoji1756] niaje jamaa wasalimie PICNIC [emoji855][emoji855][emoji7]
ile ya mitaa ya SHIVAZ..hahahah embu ukija ara nisanue hata ki piem piem..
pale naendaga nimuone yule dada mzuri mweupe wa kimburu ana miguu..haha
 
Nipo Kibaoni Pub Nzuguni B hapa,napiga Kvant na kitimoto. Hapa Kvant ni buku 3 jero,kitimoto nusu na ndizi buku 5. Najinoma tu.
 
Ila watu wa Dom mmeniangusha saana [emoji35][emoji35][emoji35]acha wikiend nirud Dar ila j3 nipo tena Hapa hapa[emoji41]
 
ile ya mitaa ya SHIVAZ..hahahah embu ukija ara nisanue hata ki piem piem..
pale naendaga nimuone yule dada mzuri mweupe wa kimburu ana miguu..haha
Ntakuja man soon maana mtu wa safari kama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…