Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣 🤣 🤣Mpunga umeiva Kwa wingi Igunga, Nzega na sehemu nyingi za Tabora. Hivyo tutegemee Mzee Lipumba, atakuja na pumba nyingi kutokana na kukoboa mpunga.
Tangu siku hiyo CUF ikazikwa rasmiBREAKING: Prof Ibrahim Lipumba leo ametangaza nia ya kurudia wadhifa wake wa Mwenyekiti Taifa wa CUF, amemuomba Katibu Mkuu atengue maamuzi yake ya kung’atuka katika wadhifa huo mwaka jana. #MwananchiLeo
Yaani yeye mwenyewe huwa anajishangaa CUF inafia mikononi mwakeMpunga umeiva Kwa wingi Igunga, Nzega na sehemu nyingi za Tabora. Hivyo tutegemee Mzee Lipumba, atakuja na pumba nyingi kutokana na kukoboa mpunga.
Hana aibu yule mzee, kwanza ukiona Profesa anaacha taaluma yake anang'ang'ania siasa ujuwe kichwani hamna kitu.Yaani yeye mwenyewe huwa anajishangaa CUF inafia mikononi mwake
Siasa za Tanzania ni zaidi ya mgodi wa Mirerani ndani ya miaka 2 unakuwa tajiri haswa(ubunge)Hana aibu yule mzee, kwanza ukiona Profesa anaacha taaluma yake anang'ang'ania siasa ujuwe kichwani hamna kitu.
Ndio maana Babu Tale umeneja wa Diamond kaona unamchelewesha.Siasa za Tanzania ni zaidi ya mgodi wa Mirerani ndani ya miaka 2 unakuwa tajiri haswa(ubunge)
Kama juzi ameweza kuandaa mkutano wa CCM kwa milioni 200 alishindwa nini kuandaa akiwa Meneja? kule kuna fedha za kuchota + ufisadi kwenye kamati ndiyo wanapiga pesa ndefu haswa kutoka kwenye mashirikina na taasisi za umma.Ndio maana Babu Tale umeneja wa Diamond kaona unamchelewesha.
Yaani taasisi aliyoshiriki kuijenga kwa mikono yake akarubuniwa kuivunja kwa mikono yake. Inasikitisha sana kuwa na wasomi sampuli ya huyu mkongomani Ibrahim Haruna Lipumba.Tangu siku hiyo CUF ikazikwa rasmi
Lipumba hana aibu na ni mlafi sana, nakumbuka enzi ya Mkapa alikua anakula chakula kwa pupa sana kama anakimbizwa na mtu na hashibi... mara achukue misambusa mara mijuisi yaani anakula haraka kama kichaa!!Hana aibu yule mzee, kwanza ukiona Profesa anaacha taaluma yake anang'ang'ania siasa ujuwe kichwani hamna kitu.
Hivi kwa nini nywele zinaota robo kichwa tu huyu mwamba?BREAKING: Prof Ibrahim Lipumba leo ametangaza nia ya kurudia wadhifa wake wa Mwenyekiti Taifa wa CUF, amemuomba Katibu Mkuu atengue maamuzi yake ya kung’atuka katika wadhifa huo mwaka jana. #MwananchiLeo