Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
Duuuh hiyo siwezi mkuuEm kawa unfollow ulete mrejesho
Kuna MTU alishawahi niambia ukifollow macelebrity was kibongo wrote lazma followers waongezeke..kusema kweli sijui what's behind it sababu so mtumiaji was insta sanaLeo kitendo cha kuwafollow celebrities mbali mbali nimeshangaa nimepata friend requests zisizopungua 500 na mpaka sasa naendelea kupokea friends requests
Jamani wajuzi wa haya mambo ebu njoeni mnijuze kulikoni?
Tena cha ajabu zaidi walionitumia friends requests wana followers zaidi ya laki moja wengine mpaka 1m +
Ndo kilichotokea kwangu mkuuK
Kuna MTU alishawahi niambia ukifollow macelebrity was kibongo wrote lazma followers waongezeke..kusema kweli sijui what's behind it sababu so mtumiaji was insta sana
Mbona mnasura sawa au ni mtu na kivuri chake mmenichanganya mm nampendaga Scorpio me, sasa huyu mwingine nani anasura ya baby wangu [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Em kawa unfollow ulete mrejesho
Hujamzoea huyo kwa kuiba sura za watu....Mbona mnasura sawa au ni mtu na kivuri chake mmenichanganya mm nampendaga Scorpio me, sasa huyu mwingine nani anasura ya baby wangu [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Yaaan kaiba sura ya baby wanguHujamzoea huyo kwa kuiba sura za watu....
Kuiba sura [emoji15] [emoji15] [emoji15]Hujamzoea huyo kwa kuiba sura za watu....
Anataka na yeye kua KE kama mimi ili akuibeYaaan kaiba sura ya baby wangu
Umefunga pm yako halafu sijui kwa niniAnataka na yeye kua KE kama mimi ili akuibe
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] sema baby umezuia text kwa box jamanAnataka na yeye kua KE kama mimi ili akuibe
Unataka hata nikituma text zetu zile watu waone jamanUmefunga pm yako halafu sijui kwa nini
HahahahaUtakua rafiki yake james delicious