Leo Magufuli akifufuka atakuta Nchimbi ni Makamu wa Rais, Polepole ni Balozi Cuba, Bashiru ni Mbunge viti maalumu!

Leo Magufuli akifufuka atakuta Nchimbi ni Makamu wa Rais, Polepole ni Balozi Cuba, Bashiru ni Mbunge viti maalumu!

sifi leo

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2012
Posts
5,182
Reaction score
8,948
Kwa taifa la Tanzania cheo Cha Ubalozi ni cheo kinachotumika kumvunja mtu nguvu Hasa yule anayekuwa anaonesha dalili za kutaka madaraka ya mwenziwe au kupinga live utawala we mwenziwe.

Mfano Mh Emmanuel Nchimbi alipinga live kuteuliwa kwa Hayati Magufuli kuwa mgombea wa CCM badala ya Mh Hayati Edward Ngoyai Lowasa.

Baada ya Magufuli kuwa Rais aliona nguvu ya Nchimbi na Lowassa ni kizuizi kwake akaamua Bora amteue kuwa Balozi Ili aweze kumfatilia vizuri lakini zaidi kuvunja mtandao wao. Ilo nalo likawa.

Ila kumbuka Nchimbi alikuwa tishio kwa Magufuli na sio kwa Samia haahahha siasa hizi.

Vivyo vivyo kwa Rais Samia na Polepole pamoja na Bashiru wote hawa amefanikiwa kuwatenganisha kwa mmoja kumtupa Cuba na ngebe zote kwisha na Mmoja kumpa ubunge wa uteule hahahahah

Je, Leo Magufuli angefufuka akakuta Hali hii angejiskiaje?
 
Kwa taifa la Tanzania cheo Cha ubalozi ni cheo kinachotumika kumvunja mtu nguvu Hasa yule anae kuwa anaonesha dalili za kutaka madaraka ya mwenziwe au kupinga live utawala we mwenziwe.

Mfano Mh Emanuel Nchimbi alipinga live kuteuliwa kwa Hayati Magufuli kuwa mgombea wa ccm Badala ya Mh Hayati Edward ngoyai Lowasa.


Baada ya magufuli kuwa Rais aliona nguvu ya Nchimbi na Lowasa ni kizuizi kwake akaamua Bora amteue kuwa Balozi Ili aweze kumfatilia vizuri lakini zaidi kuvunja mtandao wao. Ilo nalo likawa.


Ila kumbuka Nchimbi alikuwa tishio kwa magi na sio kwa Samia haahahha siasa hizi.



Vivyo vivyo kwa Raisi Samia na polepole pamoja na Bashiru kakulu wote Hawa amefanikiwa kiwatenganisha kwa Mmoja kumtupa Quba na ngebe zote kwisha na Mmoja kumpa ubunge wa uteule hahahahah


Je Leo Magufuli angefufuka akakuta Hali hii angejiskiaje?
 

Attachments

  • IMG_4035.JPG
    IMG_4035.JPG
    35.5 KB · Views: 3
Mlio Anza kukoment kwa nn mmewai?
 
angekuwa hamtaki nchimbi asinge mpa ubalozi, nchimbi ana nguvu gani? sema ana upepo kama jenista mhagama tu
 
Kwani kuna mtu ana hati miliki ya Nchi hii?

Nyerere kuna watu aliwatamania wawe viongozi lakini hawakuwa na yeye akiwepo.

Ila afadhali atawakuta January na Nape wabunge wa kawaida.
 
Kwa taifa la Tanzania cheo Cha Ubalozi ni cheo kinachotumika kumvunja mtu nguvu Hasa yule anayekuwa anaonesha dalili za kutaka madaraka ya mwenziwe au kupinga live utawala we mwenziwe.

Mfano Mh Emmanuel Nchimbi alipinga live kuteuliwa kwa Hayati Magufuli kuwa mgombea wa CCM badala ya Mh Hayati Edward Ngoyai Lowasa.

Baada ya Magufuli kuwa Rais aliona nguvu ya Nchimbi na Lowassa ni kizuizi kwake akaamua Bora amteue kuwa Balozi Ili aweze kumfatilia vizuri lakini zaidi kuvunja mtandao wao. Ilo nalo likawa.

Ila kumbuka Nchimbi alikuwa tishio kwa Magufuli na sio kwa Samia haahahha siasa hizi.

Vivyo vivyo kwa Rais Samia na Polepole pamoja na Bashiru wote hawa amefanikiwa kuwatenganisha kwa mmoja kumtupa Cuba na ngebe zote kwisha na Mmoja kumpa ubunge wa uteule hahahahah

Je, Leo Magufuli angefufuka akakuta Hali hii angejiskiaje?
Ndugu unaamini Magufuli anaweza kufufuka, kufufuliwa au kujifufua?
Kwanini upoteze muda kuwaza kitu ambacho hakiwezekani?
 
Kwa taifa la Tanzania cheo Cha Ubalozi ni cheo kinachotumika kumvunja mtu nguvu Hasa yule anayekuwa anaonesha dalili za kutaka madaraka ya mwenziwe au kupinga live utawala we mwenziwe.

Mfano Mh Emmanuel Nchimbi alipinga live kuteuliwa kwa Hayati Magufuli kuwa mgombea wa CCM badala ya Mh Hayati Edward Ngoyai Lowasa.

Baada ya Magufuli kuwa Rais aliona nguvu ya Nchimbi na Lowassa ni kizuizi kwake akaamua Bora amteue kuwa Balozi Ili aweze kumfatilia vizuri lakini zaidi kuvunja mtandao wao. Ilo nalo likawa.

Ila kumbuka Nchimbi alikuwa tishio kwa Magufuli na sio kwa Samia haahahha siasa hizi.

Vivyo vivyo kwa Rais Samia na Polepole pamoja na Bashiru wote hawa amefanikiwa kuwatenganisha kwa mmoja kumtupa Cuba na ngebe zote kwisha na Mmoja kumpa ubunge wa uteule hahahahah

Je, Leo Magufuli angefufuka akakuta Hali hii angejiskiaje?
Mungu Fundi mwaisa! kanyagia twende
 
Back
Top Bottom