Leo sijamuona Mzee Akilimali kwenye kile kijiwe cha kahawa wala sijamuona manji akila bata kama kawaida yake na wala sijamsikia Jerry Muro akiropoka kwenye redio. Ila nimemuona Plujim na Mkwasa wameinamisha vichwa vyao chini
Tafadhali kwa anayejua aujuze nini kimetokea mpaka mambo yakawa hivi.
Tafadhali kwa anayejua aujuze nini kimetokea mpaka mambo yakawa hivi.
