Acha basi kweli?? Basi inabd nitembelee huko asee kila siku jamaa angu ananambia niende masasi nazingua naona ka patakua kijijinMkuu km wewe ni Me usijaribu kumchukua dada wa kimasasi utamuacha mkeo mwenzio nimeponea kwenye tundu la sindano usijarabu Tanga hawaingii kwa wadada wa masasi ni mafundi haijapata toka toka Dunia kuumbwa
Sio kijijini pamechangamka kiasi chake sababu kuna wafanyabiashara wa mbao msimu wa korosho mbaazi ufuta.nilijichanganya na dada wa huko Nurse mmoja anaitwa Tatu hatari kaka kila w end lzm niende Masasi au tukutane Lindi.Acha basi kweli?? Basi inabd nitembeleeufuta asee kila siku jamaa angu ananambia niende masasi nazingua naona ka patakua kijijin
Afu manurse kule inaonekana ndo chakula manake kuna nurse mmoja umri umekwenda anajanuary za kutosha alikosea namba akanipigia ni wa Nachingwea karbu na masasi kabisa yani hua ananikomalia kishenzi mwaka asaiv full kujikuta ananipenda wakati hata hatujawahi kuonana ashakomaa kichizi aje Moshi nimtafune mi naznguaSio kijijini pamechangamka kiasi chake sababu kuna wafanyabiashara wa ambao msimu wa korosho mbaazi ufuta.nilijichanganya na dada wa huko Nurse mmoja anaitwa Tatu hatari kaka kila w end lzm niende Masasi au tukutane Lindi.