Tetesi: Leo naona walimu wengi bar.

Joasi

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2014
Posts
766
Reaction score
674
Za kushinda wapendwa
Moja kwa moja kwenye maada.
Leo nipo bar na nimewaona walimu wengi sana hapa Ambao tunafahamiana .


My take nini kimetokea kwa walimu wetu wapendwa and way wafanye kama kasherehe hivi.
 
Wanatamaa za kutaka kujiondolea stress kumbe hta hizo hela za balimi ni za mkopo.
 
Kaz kweli kweli
 
Umeenda bar kuangalia walimu mzee..kwaiyo hujaona manes madoct umeona maticher tu..hi n chuki
 
Za kushinda wapendwa
Moja kwa moja kwenye maada.
Leo nipo bar na nimewaona walimu wengi sana hapa Ambao tunafahamiana .


My take nini kimetokea kwa walimu wetu wapendwa and way wafanye kama kasherehe hivi.
Sijaona utetesi wa hii habari
 
Wanatamaa za kutaka kujiondolea stress kumbe hta hizo hela za balimi ni za mkopo.
Hahahahaha inafurahisha ukikutanao wape ushauri usije wakafika na chaki zao nasikini huruma kwel
 
Wanapoteza mawazo ya Mei mosi tena wawe makini wasifike alipofika Chid Benz
 
Raha jipe mwenyewe [emoji883][emoji883][emoji883][emoji883]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…