Leo nataka mje mtuambie Sasa Kati ya Pacome na chama Nani mkali? Na Nani ni mrithi wa chama pale Simba

Leo nataka mje mtuambie Sasa Kati ya Pacome na chama Nani mkali? Na Nani ni mrithi wa chama pale Simba

William Mshumbusi

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2012
Posts
1,761
Reaction score
2,391
Impact ya Chama jangwani sio kwenye mechi tu. Bali kwenye uwanja wa mazoezi.

Sio Aziz ki, Pacome na Max wote walisema walitamani Sana kucheza na Chama. Sisi huku vilaza oh kazeeka. Oh ela kubwa.
Chama now sio mchezaji. Anaweza kuwa assistant coach au kocha kamili wa viungo washambuliaji na wafungaji.

Yule mnampeleka darasani anawafundisha viungo wote namna ya kulisha mipira ya magoli. Shabaha, speed na utulivu.

Nilitamani wote watoke Simba ila sio Chama. Chama angebaki ata baada ya kustaf soka awe assistant coach. Apewe mishahara miwili. Awafundishe akina Auwa na mukwala utulivu katikati ya sita.


Alimlisha phiri hakuamini. Oh... Bora aende. Njia aliyotokea Azam kimataifa ndio Simba atakayopitia msimu huu.
 
  • Assist - Chama
  • Controll - Chama
  • Chenga - Pacome
  • Stamina na Ustahimilivu wa mikiki - Pacome
  • Discipline - Pacome, ( Chama kuna muda anashindwa jicontroll hasira anapewa red)
  • speed - Pacome
  • Kukaba - Pacome
  • Kujiposition kwa mashambulizi na kuzuia - Pacome
  • Shooting - Chama
  • Freekicks - Chama
  • Mawasiliano - Chama
  • ugumu wa mechi (mpinzani ni wa aina gani ?) - mechi ngumu Pacome anang'ara ni fighter, timu nyepesi Chama atakushangaza.
  • Uwezo wa kuwasoma wapinzani kutambua udhaifu wao - Pacome anahitaji dakika chache kujua udhaifu ulipo, Chama anaweza tumia kipindi cha kwanza au zaidi, huwa ni mzuri zaidi kipindi cha pili na mechi za second leg.

Wote ni wazuri, ni baadhi ya vitu wanatofautiana ambavyo wakicheza pamoja wanaifanya timu iwe tishio zaidi.
 
Impact ya Chama jangwani sio kwenye mechi tu. Bali kwenye uwanja wa mazoezi.

Sio Aziz ki, Pacome na Max wote walisema walitamani Sana kucheza na Chama. Sisi huku vilaza oh kazeeka. Oh ela kubwa.
Chama now sio mchezaji. Anaweza kuwa assistant coach au kocha kamili wa viungo washambuliaji na wafungaji.

Yule mnampeleka darasani anawafundisha viungo wote namna ya kulisha mipira ya magoli. Shabaha, speed na utulivu.

Nilitamani wote watoke Simba ila sio Chama. Chama angebaki ata baada ya kustaf soka awe assistant coach. Apewe mishahara miwili. Awafundishe akina Auwa na mukwala utulivu katikati ya sita.


Alimlisha phiri hakuamini. Oh... Bora aende. Njia aliyotokea Azam kimataifa ndio Simba atakayopitia msimu huu.
Una akili kubwa sana
 
  • Assist - Chama
  • Controll na chenga- Pacome
  • Stamina na Ustahimilivu wa mikiki - Pacome
  • Discipline - Pacome, ( Chama kuna muda anashindwa jicontroll hasira)
  • Kukaba - Pacome
  • Kujiposition kwa mashambulizi na kukaba - Pacome
  • Shooting - Pacome
  • Freekicks - Chama
  • Mawasiliano - Chama
  • Uwezo wa kuwasoma wapinzani kutambua udhaifu wao - Pacome anahitaji dakika chache, Chama ni mzuri baada ya kipindi cha kwanza na mechi za marudiano


Wote ni wazuri, ni baadhi ya vitu wanatofautiana ambavyo wakicheza pamoja wanaifanya timu iwe tishio zaidi.
Wenzako wanataka mtumie kigezo kimoja tu walichokichagua wao
 
Impact ya Chama jangwani sio kwenye mechi tu. Bali kwenye uwanja wa mazoezi.

Sio Aziz ki, Pacome na Max wote walisema walitamani Sana kucheza na Chama. Sisi huku vilaza oh kazeeka. Oh ela kubwa.
Chama now sio mchezaji. Anaweza kuwa assistant coach au kocha kamili wa viungo washambuliaji na wafungaji.

Yule mnampeleka darasani anawafundisha viungo wote namna ya kulisha mipira ya magoli. Shabaha, speed na utulivu.

Nilitamani wote watoke Simba ila sio Chama. Chama angebaki ata baada ya kustaf soka awe assistant coach. Apewe mishahara miwili. Awafundishe akina Auwa na mukwala utulivu katikati ya sita.


Alimlisha phiri hakuamini. Oh... Bora aende. Njia aliyotokea Azam kimataifa ndio Simba atakayopitia msimu huu.
Ukitaka kujua mkeo n mnzr mfukuze then ukose mchepuko alaf umekaa miez 7 umizidiwa na nyege ndy utakumbuka kuwa ile syo ilikuwa akili yako ya kuachananae kwa kipnd hicho
 
Wakati wa mechi ngumu za Uto ni kama watu walishaanza kunyoosha mikono na kuamini Pacome ni bora kuliko Chama siku ya mechi nyepesi huku mpinzani akiwa na wachezaji wawili pungufu, tunaona watu wanataka kusema Chama ni bora kuliko Pacome. Tuache masihara, Pacome ana-offer vitu vingi kwa klabu kuliko Chama! Na zile assists tunazosifia ni kwa sababu ya ubora wa safu ya ushambuliaji ya Uto vinginevyo wala leo hii tusingezizungumzia kama ambavyo tulishindwa kulizungumzia bao 1 la Fred kwa Uto kwa sababu tu matokeo ya jumla, Uto walishinda!
 
  • Assist - Chama
  • Controll na chenga- Pacome
  • Stamina na Ustahimilivu wa mikiki - Pacome
  • Discipline - Pacome, ( Chama kuna muda anashindwa jicontroll hasira)
  • Kukaba - Pacome
  • Kujiposition kwa mashambulizi na kukaba - Pacome
  • Shooting - Pacome
  • Freekicks - Chama
  • Mawasiliano - Chama
  • Uwezo wa kuwasoma wapinzani kutambua udhaifu wao - Pacome anahitaji dakika chache, Chama ni mzuri baada ya kipindi cha kwanza na mechi za marudiano


Wote ni wazuri, ni baadhi ya vitu wanatofautiana ambavyo wakicheza pamoja wanaifanya timu iwe tishio zaidi.
Good thinking
 
Impact ya Chama jangwani sio kwenye mechi tu. Bali kwenye uwanja wa mazoezi.

Sio Aziz ki, Pacome na Max wote walisema walitamani Sana kucheza na Chama. Sisi huku vilaza oh kazeeka. Oh ela kubwa.
Chama now sio mchezaji. Anaweza kuwa assistant coach au kocha kamili wa viungo washambuliaji na wafungaji.

Yule mnampeleka darasani anawafundisha viungo wote namna ya kulisha mipira ya magoli. Shabaha, speed na utulivu.

Nilitamani wote watoke Simba ila sio Chama. Chama angebaki ata baada ya kustaf soka awe assistant coach. Apewe mishahara miwili. Awafundishe akina Auwa na mukwala utulivu katikati ya sita.


Alimlisha phiri hakuamini. Oh... Bora aende. Njia aliyotokea Azam kimataifa ndio Simba atakayopitia msimu huu.
1. Ni kweli Chama hana speed
2. Ni kweli ka umri kanasonga
3. Lakini Chama ni moja ya wachezaji wenye akili sana uwanjani.

Haya ni maoni ya hushi loya wa mpira
 
  • Assist - Chama
  • Controll na chenga- Pacome
  • Stamina na Ustahimilivu wa mikiki - Pacome
  • Discipline - Pacome, ( Chama kuna muda anashindwa jicontroll hasira)
  • Kukaba - Pacome
  • Kujiposition kwa mashambulizi na kukaba - Pacome
  • Shooting - Pacome
  • Freekicks - Chama
  • Mawasiliano - Chama
  • Uwezo wa kuwasoma wapinzani kutambua udhaifu wao - Pacome anahitaji dakika chache, Chama ni mzuri baada ya kipindi cha kwanza na mechi za marudiano


Wote ni wazuri, ni baadhi ya vitu wanatofautiana ambavyo wakicheza pamoja wanaifanya timu iwe tishio zaidi.
Umesahau tu kumalizia kuwa mechi kubwa mpe Pacome acheze, ila mechi nyepesi mpe Chama acheze. Pacome kwenye mechi kubwa hawezi kukuangusha, Al Ahly, Medeama na Belouizdad wanajua shughuli yake. Leo watu wanamuimba Chama, Chama lakini wanashindwa kuangalia Chama kang'ara vs mpinzani wa aina gani?
 
  • Assist - Chama
  • Controll na chenga- Pacome
  • Stamina na Ustahimilivu wa mikiki - Pacome
  • Discipline - Pacome, ( Chama kuna muda anashindwa jicontroll hasira)
  • Kukaba - Pacome
  • Kujiposition kwa mashambulizi na kukaba - Pacome
  • Shooting - Pacome
  • Freekicks - Chama
  • Mawasiliano - Chama
  • Uwezo wa kuwasoma wapinzani kutambua udhaifu wao - Pacome anahitaji dakika chache, Chama ni mzuri baada ya kipindi cha kwanza na mechi za marudiano


Wote ni wazuri, ni baadhi ya vitu wanatofautiana ambavyo wakicheza pamoja wanaifanya timu iwe tishio zaidi.
Asante ngoja nisave hii comment yako nikawatambie washkaji kijiweni.
 
Chama kwenda Yanga ilikuwa ni suala la muda tu. Inaonyesha ilikuwa ni mission iliyopangwa na kutamaniwa na pande zote mbili kwa muda mrefu. Yule ni binadamu siyo mtumwa.

Kitu kimoja kikubwa sana ambacho Simba ilishindwa kukipata ni combination moja matata ya Phiri/Chama/Miqussone. Mauzauza yaliyokuwepo Simba msimu uliopita yalizuia hii combination isifanye kazi ila leo tungekuwa tunazungumza mengine.

Ukurasa umefungwa, watakuja walio bora zaidi watakaofanya makubwa zaidi.
 
Mashabiki wa simba bado tu hamjakubali kwamba Pacome ni bora kuliko chama?

Yani kabisa unamfananisha Pacome na Chama!
 
  • Assist - Chama
  • Controll na chenga- Pacome
  • Stamina na Ustahimilivu wa mikiki - Pacome
  • Discipline - Pacome, ( Chama kuna muda anashindwa jicontroll hasira)
  • Kukaba - Pacome
  • Kujiposition kwa mashambulizi na kukaba - Pacome
  • Shooting - Pacome
  • Freekicks - Chama
  • Mawasiliano - Chama
  • Uwezo wa kuwasoma wapinzani kutambua udhaifu wao - Pacome anahitaji dakika chache, Chama ni mzuri baada ya kipindi cha kwanza na mechi za marudiano


Wote ni wazuri, ni baadhi ya vitu wanatofautiana ambavyo wakicheza pamoja wanaifanya timu iwe tishio zaidi.
Mwendo kasi- Pacome
Mechi ngumu - Pacome
 
Impact ya Chama jangwani sio kwenye mechi tu. Bali kwenye uwanja wa mazoezi.

Sio Aziz ki, Pacome na Max wote walisema walitamani Sana kucheza na Chama. Sisi huku vilaza oh kazeeka. Oh ela kubwa.
Chama now sio mchezaji. Anaweza kuwa assistant coach au kocha kamili wa viungo washambuliaji na wafungaji.

Yule mnampeleka darasani anawafundisha viungo wote namna ya kulisha mipira ya magoli. Shabaha, speed na utulivu.

Nilitamani wote watoke Simba ila sio Chama. Chama angebaki ata baada ya kustaf soka awe assistant coach. Apewe mishahara miwili. Awafundishe akina Auwa na mukwala utulivu katikati ya sita.


Alimlisha phiri hakuamini. Oh... Bora aende. Njia aliyotokea Azam kimataifa ndio Simba atakayopitia msimu huu.
Aliyewaita mbumbumbu, hakika aliwaza mbali sana! Badala ya kuangalia ubora wa kikosi kwa ujumla wake, nyinyi mko busy kulinganisha ubora mtu mmoja mmoja!!

Hivi ndiyo maana timu yenu inashiriki kombe la luza.
 
Back
Top Bottom